Natafta hot girl wa kuishi nae

Natafta hot girl wa kuishi nae

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Natafta mrembo awe na shingo ya twiga mwenye kuringa kama kinyonga mweusi kama chocolate , miguu kama ya wolper, mrefu kama wema sepetu, mnene kama tedi, mcheshi kama anti ezekiel , awe kama macho ya kulegea kama shenaizer, awe na sauti nyororo ya kunirusha roho. Kama yupo ani PM tafadhali.
 
Natafta mrembo awe na shingo ya twiga mwenye kuringa kama kinyonga mweusi kama chocolate , miguu kama ya wolper, mrefu kama wema sepetu, mnene kama tedi, mcheshi kama anti ezekiel , awe kama macho ya kulegea kama shenaizer, awe na sauti nyororo ya kunirusha roho. Kama yupo ani PM tafadhali.


Mkuu labda kama unatafuta wa kustarehe naye kwa muda tu. Kumbuka na wao wanavigezo vyao unaweza kuwa hukidhi kwa umtakaye!

Sifa za mke ni zaidi ya maelezo yako, wewe unahitaji miss! kama ni mke hapatikani kwa vigezo vivyo kamwe.

kama ni mamiss jitahidi kuhudhria kwenye mashindano mbalimbali utampata, na niwewe pekee unaweza kujaji si vinginevo.
 
Nenda Facebook, kule ndio zizini mkuu!
 
eheheee kuelekea 2015 tutaona na kusikia mengi
 
Aisee umepata, umoto wangu usije ukaungua mwenyewe
 
[Natafta mrembo awe na shingo ya twiga mwenye kuringa kama kinyonga mweusi kama chocolate , miguu kama ya wolper, mrefu kama wema sepetu, mnene kama tedi, mcheshi kama anti ezekiel , awe kama macho ya kulegea kama shenaizer, awe na sauti nyororo ya kunirusha roho. Kama yupo ani PM tafadhali.[/QUOTE]

we tafuta wa kawaida halafu mlishe kungu
 
Natafta mrembo awe na shingo ya twiga mwenye kuringa kama kinyonga mweusi kama chocolate , miguu kama ya wolper, mrefu kama wema sepetu, mnene kama tedi, mcheshi kama anti ezekiel , awe kama macho ya kulegea kama shenaizer, awe na sauti nyororo ya kunirusha roho. Kama yupo ani PM tafadhali.
utachanganyikiwa bure kaka
 
Unaota au unaimba?mtu mwenyewe umefulia unatafuta vizuri!!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom