ubarikiwe kidotiHupo dar sehemu gani? je unaweza kufanya kazi ya kusaga na juice ya miwa?
n kwel usemalo ila mimi kwa sasa ningepata kaz yoyote ambayo ningesema nifanye ingelikuwa bora sina sabab ya kubagua kazi kikubwa isiwe haramu katika jamii na iwe kazi ilio salama tu.nitafanyaUkiwa desperate wa kupata ajira kila kazi unakua tayari kuifanya ila ukweli ni kwamba kuna kazi ngumu ambazo kulingana na mazingira ulio kulia huziwezi, mfano mimi nikiwa nje kuna kazi za kupakia tiles kwenye container ya 40ft nilitema mzigo hapo hapo, mimi naturally kazi za kutumia nguvu nyingi akili kdgo (Labour intensive) siziwezi, ntakufa na njaa, bora kijana utowe mfuano wakazi unazo pendelea kwanza, ili tujitathimini jinsi ya kukusaidia.
dar mbuyuniunapatikana mkoa gan wewe
amen.ubarikiwe kidoti
ndio japo sina uzoefu ila nipo tayari kufunzwa nipo dar mbuyuni kabla ufike kinyereziubarikiwe kidoti
mfuate inbox Dadakidotindio japo sina uzoefu ila nipo tayari kufunzwa nipo dar mbuyuni kabla ufike kinyerezi