Ontama
Senior Member
- Jul 24, 2019
- 136
- 96
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,mimi nikijana mwenye umli 36 natafta mchumba wa kike,haijalishi nidinigani Jambo muhimu awenimuelewa mkalimu asiye nagubu nazaidi ya yote asinipenda Sana ila aipende ndoa yake,aliye tayari tutaftane ili tuyajenge,ila umliwake usizidi miaka 34