Natafuta aina hii ya mbwa

Natafuta aina hii ya mbwa

Wanabongo watu wa ajabu sana unafunga mbwa lakini huonani naye,hao mbwa wanapenda sana michezo kama hachezi nae hukai naye jiandae siku akikasirika.
Changamoto ndo hua inaanzia hapa. Mbwa anafungiwa bandani kutwa nzima anafunguliwa usiku saa 4 na shamba boy asubuhi jua likichomoza bandani tena kila siku.

Mwishowe anashindwa ku socialize na members wa familia.

Mind u kwa mbwa wengi miezi ya 2- 4 ndo umri sahihi wa kumtrain a socialize na watu ukichelewa hapo inakua changamoto kidogo

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Changamoto ndo hua inaanzia hapa. Mbwa anafungiwa bandani kutwa nzima anafunguliwa usiku saa 4 na shamba boy asubuhi jua likichomoza bandani tena kila siku.

Mwishowe anashindwa ku socialize na members wa familia.

Mind u kwa mbwa wengi miezi ya 2- 4 ndo umri sahihi wa kumtrain a

Sio utani bruh tahadhari pia ni muhimu
Mbwa kama rott hawatakiwi waachiwe nje ovyo hasa kama kuna watoto
Hajaelewa huyo kabla ya kumwambia anawapata wapi lazima apewe elimu kwanza hao mbwa sio kama unaopishana nao mtaani huo mdomo wake kichwa cha mtoto kinaingia vizuri tu.
 
Hajaelewa huyo kabla ya kumwambia anawapata wapi lazima apewe elimu kwanza hao mbwa sio kama unaopishana nao mtaani huo mdomo wake kichwa cha mtoto kinaingia vizuri tu.
Uko nyumbani unaangalia mtt yuko wapi unazunguka unakuta bobby katoa tu ulimi nje domo limejaa damu sijui utapiga risasi ngapi
 
Wanabongo watu wa ajabu sana unafunga mbwa lakini huonani naye,hao mbwa wanapenda sana michezo kama hachezi nae hukai naye jiandae siku akikasirika.
Akikasirika Ajue Yale Yale Ya Kingunge
 
Usicheze na pitbull,
Hao mbwa wako Kama wanavuta bange
Ndio mbwa wanaoongoza kwa kuwaua wamiliki wake

images-1056.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Breed type ni Great Dane.

Kuna jamaa hua ana wa import, ni pm no. yako kama wapo nitakujuza

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Cane corso ....Great Dane hana masikio yaliyosimama hata uki-crop....

Anafanana saana na Bul hata unaweza kutowatofautisha....sema Pitbull ngozi yake ni tight na ni mdogo kwa huyu.
 
Andaa pesa sio chini ya laki tano pia usisahau hao hawakai siku tatu bila kula nyama kilo moja anamaliza na hashibi kila week anatakiwa kuogeshwa na dawa+shampoo za wanyama je utaweza?
Mkuu huyu mbwa sio BATA BUKENE.
Bei yake ni inapaa hadi zaidi ya $2,000
 
Nimejipanga mkuu, nitaweza.
Andaa pesa sio chini ya laki tano pia usisahau hao hawakai siku tatu bila kula nyama kilo moja anamaliza na hashibi kila week anatakiwa kuogeshwa na dawa+shampoo za wanyama je utaweza?
 
Back
Top Bottom