To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Nikajua unataka umpunyue,kumbe hapo sawa mkuuNimfuge. Awe rafiki na mlinzi wa nyumba yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua unataka umpunyue,kumbe hapo sawa mkuuNimfuge. Awe rafiki na mlinzi wa nyumba yangu.
Mwenye kujua jina la hii mbeg, na kwa bongo naweza kuipata wapi!?View attachment 2407389
Mwenye kujua jina la hii mbeg, na kwa bongo naweza kuipata wapi!?View attachment 2407389
Hilo likikasirika kama huna manati ya mzungu linkutanguliza fasta
Kidogo limtoe roho jamaa angu Mungu saidia alikuwa na manati ya mzungu akalitanguliza
Usicheze na pitbull,
Hao mbwa wako Kama wanavuta bange
Ndio mbwa wanaoongoza kwa kuwaua wamiliki wake
View attachment 2407798
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaHii ndo comment ya kibongobongo.