Natafuta ajira au internship nimesoma MECHANICAL ENGINEERING

Natafuta ajira au internship nimesoma MECHANICAL ENGINEERING

Nenda viwandani fanya kazi miezi 6 acha amia kitanda kingine fanya miezi 6 acha then nenda kajitolee kwenye taasisi kubwa au sehemu kama tbs,tanroad,Tarura then Anza kuwinda job TPDC
Mbali na kero zako kwenye nyuzi za Chelsea, Man Utd, Liverpool na Arsenal huwa una busara sana wewe Shabiki la Liverkuku.
 
Ok shukran kwa ushauli,
Hakuna sehemu nyepesi kupata nafasi ya kujitolea kwa mechanical engineering kama Tarura na tanroad

Nenda kujitolea ukiwa na target moja kupata ujuzi na sio kupata ajira (hapa lazima upoteze mwaka mmoja )

Lengo ni nini sasa ?
Ni kupata ujuzi utakaokuwezesha kufaulu usahili wako wa ajira sehemu nzuri(yenye maslahi nimetolea mfano TPDC)
Mechanical engineering usahili zake huwa ni nyepesi saana ila zinamitego mingi so kujitolea kutakupa ujuzi wa kukwepa mitego ya usahili

Kwann ujitolee sehemu kama Tarura na tanroad? (taasisi za serikali)
Unapojitolea sehemu kama hizo ukienda kufanya usahili sehemu zingine utapewa kipaumbele sababu umetokea sehemu officially (usithubutu kwenda kujitolea sehemu za ushwahilini na vichakani)
Cv yako itakuwa nzuri na ya kuvutia

Ndani ya hichi kipindi ambacho hujapata sehemu ya kujitolea usikubari kufanya kazi nje ya taaluma yako uliyosomea mfano usiende kulima matikiti kwenye CV huwezi kuandika kuwa..
"Baada ya kumaliza elimu yangu ya chuo nikaenda kulima matikiti njombe..."

Note
Am mechanical engineer nafanya kazi kwenye mamlaka fulani
Nimesimamia sahili zaidi ya tatu so naelewa nachokuambia

Faraja kwako ni kuwa kazi za mechanical engineering ni nyingi saana kuliko wahitaji

Jiunge kwenye magroup ya ajira

Kuwa na NIDHAMU

Jichanganye kwenye nyumba za ibada hapa ndio nidhamu huwa inasaidia zaidi

All in All nisikuone Pm
 
Hakuna sehemu nyepesi kupata nafasi ya kujitolea kwa mechanical engineering kama Tarura na tanroad

Nenda kujitolea ukiwa na target moja kupata ujuzi na sio kupata ajira (hapa lazima upoteze mwaka mmoja )

Lengo ni nini sasa ?
Ni kupata ujuzi utakaokuwezesha kufaulu usahili wako wa ajira sehemu nzuri(yenye maslahi nimetolea mfano TPDC)
Mechanical engineering usahili zake huwa ni nyepesi saana ila zinamitego mingi so kujitolea kutakupa ujuzi wa kukwepa mitego ya usahili

Kwann ujitolee sehemu kama Tarura na tanroad? (taasisi za serikali)
Unapojitolea sehemu kama hizo ukienda kufanya usahili sehemu zingine utapewa kipaumbele sababu umetokea sehemu officially (usithubutu kwenda kujitolea sehemu za ushwahilini na vichakani)
Cv yako itakuwa nzuri na ya kuvutia

Ndani ya hichi kipindi ambacho hujapata sehemu ya kujitolea usikubari kufanya kazi nje ya taaluma yako uliyosomea mfano usiende kulima matikiti kwenye CV huwezi kuandika kuwa..
"Baada ya kumaliza elimu yangu ya chuo nikaenda kulima matikiti njombe..."

Note
Am mechanical engineer nafanya kazi kwenye mamlaka fulani
Nimesimamia sahili zaidi ya tatu so naelewa nachokuambia

Faraja kwako ni kuwa kazi za mechanical engineering ni nyingi saana kuliko wahitaji

Jiunge kwenye magroup ya ajira

Kuwa na NIDHAMU

Jichanganye kwenye nyumba za ibada hapa ndio nidhamu huwa inasaidia zaidi

All in All nisikuone Pm
Shukran sana kwa muongozo huu
 
Hakuna sehemu nyepesi kupata nafasi ya kujitolea kwa mechanical engineering kama Tarura na tanroad

Nenda kujitolea ukiwa na target moja kupata ujuzi na sio kupata ajira (hapa lazima upoteze mwaka mmoja )

Lengo ni nini sasa ?
Ni kupata ujuzi utakaokuwezesha kufaulu usahili wako wa ajira sehemu nzuri(yenye maslahi nimetolea mfano TPDC)
Mechanical engineering usahili zake huwa ni nyepesi saana ila zinamitego mingi so kujitolea kutakupa ujuzi wa kukwepa mitego ya usahili

Kwann ujitolee sehemu kama Tarura na tanroad? (taasisi za serikali)
Unapojitolea sehemu kama hizo ukienda kufanya usahili sehemu zingine utapewa kipaumbele sababu umetokea sehemu officially (usithubutu kwenda kujitolea sehemu za ushwahilini na vichakani)
Cv yako itakuwa nzuri na ya kuvutia

Ndani ya hichi kipindi ambacho hujapata sehemu ya kujitolea usikubari kufanya kazi nje ya taaluma yako uliyosomea mfano usiende kulima matikiti kwenye CV huwezi kuandika kuwa..
"Baada ya kumaliza elimu yangu ya chuo nikaenda kulima matikiti njombe..."

Note
Am mechanical engineer nafanya kazi kwenye mamlaka fulani
Nimesimamia sahili zaidi ya tatu so naelewa nachokuambia

Faraja kwako ni kuwa kazi za mechanical engineering ni nyingi saana kuliko wahitaji

Jiunge kwenye magroup ya ajira

Kuwa na NIDHAMU

Jichanganye kwenye nyumba za ibada hapa ndio nidhamu huwa inasaidia zaidi

All in All nisikuone Pm
Mzee wa Ikulu una maneno mazuri sana ushauri konki sana sema sentensi ya mwisho umevunja
 
Habari ndungu zangu
Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.​
Tangazo la jana la UTUMISHI hujaliona?
 
Habari ndungu zangu
Nimehitimu shahada ya Mechanical Engineering. Naombeni msaada kupata kazi au internship maana nimeshazunguuka sana maofisini kuomba kazi bila mafanikio.​
Nenda ERB, waambie unaomba kufanya SEAP... Wanaweza kukusaidia kupata eneo la kujitolea, na utakuwa unalipwa..(japo malipo yao yanachelewa sana)

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Nenda viwandani fanya kazi miezi 6 acha amia kitanda kingine fanya miezi 6 acha then nenda kajitolee kwenye taasisi kubwa au sehemu kama tbs,tanroad,Tarura then Anza kuwinda job TPDC
Amesema kamaliza Mechanical engineering. Sehemu yake sahihi ya kujitolea na hata kufanya kazi ni katika viwanda vya chuma na vya Saruji. Kwa Serikalini aangalie NDC, NIRC na CARMATEC.
 
mkuu mm mechanical engineer nip huk kisemvulee njoo utafute huk kaz hauwez kukosa mm nimeajir huku raddy fiber viwanda vipo kibao kinoma hauwez kukos kazi
Izo za viwandani tupe connection na sisi tuje
 
Back
Top Bottom