- Thread starter
- #21
Usikate tamaa mapema. Basi labda niseme Bado hujawa na future ndo maana imekua rahisi kutaka kubadili kozi, ni sawa na unabet tu.Ili tuhangaike wote nabadilisha coz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikate tamaa mapema. Basi labda niseme Bado hujawa na future ndo maana imekua rahisi kutaka kubadili kozi, ni sawa na unabet tu.Ili tuhangaike wote nabadilisha coz
Mawasiliano yako , kuna kazi ya utangazajiHabari zenu watanzania wenzangu.
Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma na uandishi na utangazaji wa habari.. hivyo natafuta kazi ,, ujuzi ninao wa.miaka miwili
Pia , nipo dar es salaam wilaya ya ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya. Mtusaidie jamani maana ajira za wanahabari zimehamia kwa wasanii na watu maarufu. Meneja wa jamiiforums na watu binafsi naombeni mtusaidie kutupatia taarifa humu ambao hatuna ajira Wala mitaji. Tukumbukane na kwa maombi pia,, Asanteni 🙏