Tanganyika1
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 423
- 90
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......