Natafuta ambaye ni kama mimi

Natafuta ambaye ni kama mimi

Tanganyika1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
423
Reaction score
90
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......
 
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......

Pole kwa kuumizwa. Post yako hii inaonyesha kabisa majeraha yako bado hayajapona japokuwa mwaka mzima umeshapita. Unahitaji proper counselling ili kuodokana na hali hiyo.....!! Kutaka binti kutoka kwenye internet ni dalili ya kukata tamaa!
 
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......
Hata mimi nakuona kwenye avatar yako hapo..........very handsome...........
 
ndio mambo ,bro lakin kwanini umeamua kutafuta ktk jamii forum?second why hukueka picture ? third watu hawato chukulia kama kweli unahitaji,, fouth,, mm nahisi mchumba wa kuchati n kama bahati, unaweza ukapata mwenye huruma but si sana wengi wao ni waongo ,si wanaume si wanawake ,ushauri wangu bora uwe na subra kutafuta tu huko huko ,nyumbani ,utapta mwenye huruma,, na anaejua maumivu ,na thamani ya mapenzi,,pole sana matatizo humfika mja na waja ndio sisi..:A S cry:
 
Seems your more than serious even phone number? All the best, dont forget the feedback in whatever that will happen.
 
Naposema ni kama mimi namaanisha alokutwa na yalo nikuta mimi...mpenzi wangu aliniacha mwaka 1 uliopita na akaolewa. Niliumia sana nikakata tamaa ya kupenda tena...ila naona kwa sasa maumivu yametulia.....nataka binti alotulia tena ningependa atoke hapa jamii forum....mashart ni kwamba huyo binti awe amewahi kuumizwa kama mm, najua na yeye atakua anafahamu ninh broken heart....jamani niko serious. 0784847753 contact mi tukiridhiana mambo mengine yataendelea. NB: Am handsome......

IS looks the only qualification you are bringing on table...........apart from sharing sad relationship experiences..................hivi unajuaje ya kuwa you are really handsome?.............I have always thought that do not raise the bar unnecessarily if you can help...........................................it may turn out to have been the Waterloo in your previous relationship...................................keep your best attributes under the table and let your next conquest discover them on her own pace.....................................do not shove them on her...................as a matter of fact looks are not prime on gals' prying minds these days.........................................although the expectation of beautiful offspring may nudge her onto them..................
 
IS looks the only qualification you are bringing on table...........apart from sharing sad relationship experiences..................hivi unajuaje ya kuwa you are really handsome?.............I have always thought that do not raise the bar unnecessarily if you can help...........................................it may turn out to have been the Waterloo in your previous relationship...................................keep your best attributes under the table and let your next conquest discover them on her own pace.....................................do not shove them on her...................as a matter of fact looks are not prime on gals' prying minds these days.........................................although the expectation of beautiful offspring may nudge her onto them..................
Khaaaaaaa Sasa ndio nini kumjibuKwa English . Ungeandika kiswahili labda Angekuelewa au wa penda ku assume kila mtu anajua English ...Labda hilo neno handsome katoaKwenye tape ya Dully syksi...Ungempa maneno manne au matano basii..Angekuwa anataka majibu ya English basi Angeuliza kwa lugha huyo..
 
sidhani hata kama kiswahili kingelimsaidia sana labda aache kutumia neno handsome...............................aseme yeye ni chuma...................naona hizi tambo zake ndizo zinamletea migogoro na wapenzi wake na hivyo ajirekebishe kwanza....................
 
sidhani hata kama kiswahili kingelimsaidia sana labda aache kutumia neno handsome...............................aseme yeye ni chuma...................naona hizi tambo zake ndizo zinamletea migogoro na wapenzi wake na hivyo ajirekebishe kwanza....................
My dearKuna wengine wajiangalia kwenyekioo na kuridhika na kuna wasichana Wengi tu wanapenda kununua sura sasasasa labda ye anawa target hao wanunuaji..Basi mwache aendelee na biashara ...
 
Pole sana ila hawa wachumba wa kuwapata kwny mitandao pia c vizuri,nakushauri kuwa na subira2.
 
Utafankiwa tu, hamna kinachoshindikana! All the best
 
Kila la heri mkuu lakini angalia sana, kuna wa2 ambao wameshaumizwa mioyo na walichobakiza ni kuwatenda tu wenzao ili walipe kisasi sasa kuwa makini wasije anza na wewe ukajikuta unalia zaidi ya hapo!!
 
Back
Top Bottom