Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
sijui kama ulishawai kunitafuta maana sikuwa na muda na mapenzi .sikupenda kukudanganyaMi ulishanitosa ngoja niwaachie wezangu!
yaani huwezi kuvumilia mwezi bila papuchi? wewe pitaa tu sikuweziNina vigezo vyote...ila hapo kwenye papuchi legeza
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
sema ujirizishe wewe usiongelee wenzakoWeka picha 2..moja ikikuonesha Mbele ya pili ikikuonesha kwa nyuma... Ili tujirizishe.
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
papuchi zipo nyingi hata ukitaka kila sekunde unapata mkuu sio lazima yanguMwezi..unasiku 30...yani sikuzote hizo nikae bila kula papuchi??..
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Ngoja waje kwanza mimi nitakuwa wa mwisho mwisho kabisa!sijui kama ulishawai kunitafuta maana sikuwa na muda na mapenzi .sikupenda kukudanganya
natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
miaka 38 to infinityVigezo vya umri tafadhal,dadavua vizur hapo tujue kama tunaweza pata fursa hiyo
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app
miaka 38 na kuendelea mkuu .mimi nipo dar nimechoka kukaa peke yangu so nataka aliepo dar maana kuhama itakuwa shida kwanguNaomba nikufwate PM kama kigezo cha umri na udaresalama havitazingatiwa
Me nlishakuombaga n mpk leo kimya.... Dohh! Iv ungekua ndo ww nimekufanyia ivo n unahitaj, ungejckiaje?.... Haupo fair kbsanatafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo