Fidelisfcm
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 293
- 101
Nakuja huko PMndio mkuu karibu
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja huko PMndio mkuu karibu
I'm taken mkuuWe una umri gani na ukoje mbona huelezei sasa??
Halafu huo ujanja wa keyboard unavutia wajanja wenzio wa kiukweli ohoooo
Navaa helmet in case utarusha mawe.
Namsubiria mama kubwa Sky Eclat akishindwana na yule mkorea sijui teh teh
Noted
Sikaribii hata huko PM nisije kuchambwa manaake unaonekana mtata wewe hahaaaa
Wacha mimi wa Nyanguge huku ntafute saizi yangu
Hahaaaaaa wacha nikomae huku huku tuhahhhh kwa mama zangu huko lo!kweli we tafuta nyaguge au magu au hata kahangala sio mby
Aiseeee nimezaliwa siku gani mimi???I'm taken mkuu
mwanaume unajiita mcharo kweli?Mihogo Ya Jioni Haina Kachumbari
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Yah Mcharo Freshman Co kama Padre Mcharo Unayemfahamumwanaume unajiita mcharo kweli?
Mbona wewe bado mdooooogo, subiri 45!natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki
uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
ukisema uongo ndo utapendwa mkuu"Miss natafuta" kaamua kusema ukweli.
Hana mda na ticktack, [emoji28], vijana wa mjini hapo wameshatupwa nje ya vigezo, papuichi haigaiwi kama karanga!
sharti gani be honestMashart meng had deadline
huko hapana nataka mwaka huuMbona wewe bado mdooooogo, subiri 45!
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
ukisema uongo ndo utapendwa mkuu
Awe dar wakat wengne tunafanya kaz nje ya darsharti gani be honest
ahahaa acha kunitisha mkuu niombee heriSasa jiandae kununua mashine ya kuchuja ukweli kutoka kwa uongo mwingi unaokuja kwa gmail[emoji1]
nataka mtu wa kumdekea bna aaahAwe dar wakat wengne tunafanya kaz nje ya dar