Natafuta baba watoto

Natafuta baba watoto

07560933b446f4381f1e7522453ef27d.jpg
 
natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki

uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
KWELI uko kikazi zaidi lazima ubebe Zigo hapahapa JamiiForums
 
Aisee Na wewe unahitaji maake Comment zako zipo extravangantaaalalala
 
atakaekuwa wa kwanza kunitafuta nitamfikiria zaidi labda tushindwane tu ndo nitatafuta mwingine
Wewe bint, si kuna jamaa analialia sana humu jf kwa maelezo kuwa anakushobokea!
Ukawa unaruka comments zake unajibu za wengine.
Nikajaribu kukusihi uhangaike naye bila mafanikio yoyote.
Alihojiwa sana na wana jf kwamba anakupendea nini wakati jf ni kama gallaxy?
Nikatetea kwamba kakupendea sauti ya mwandiko kama wapendavyo vipofu kwa sauti.
Nadhani huyo ungeanza naye kwa kum-interveiuw umri wake. Kisha kwenye foleni utakayotegeneza umpachike namba1.
Huyo jamaa anakuhusudu.
 
Bwahahahahaha unanifuraishaga sana na iyo light sense of homour yako, iyo email umetunga kwa kazi ii peke yake nin Miss Natafuta
 
Wewe bint, si kuna jamaa analialia sana humu jf kwa maelezo kuwa anakushobokea!
Ukawa unaruka comments zake unajibu za wengine.
Nikajaribu kukusihi uhangaike naye bila mafanikio yoyote.
Alihojiwa sana na wana jf kwamba anakupendea nini wakati jf ni kama gallaxy?
Nikatetea kwamba kakupendea sauti ya mwandiko kama wapendavyo vipofu kwa sauti.
Nadhani huyo ungeanza naye kwa kum-interveiuw umri wake. Kisha kwenye foleni utakayotegeneza umpachike namba1.
Huyo jamaa anakuhusudu.
ana mke yule
 
Labda kama watoto wamo kama haina sina ombi

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
All the best my dear

Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
 
jamani nalala kesho nitaleta mrejesho halafu mnaokuja pm kwa new id Mungu anawaona mbona mimi nimekuja na id yangu ?
 
Ulisema umeshapata we mwanamke huishi vituko?

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom