Natafuta baba watoto

Natafuta baba watoto

We una umri gani na ukoje mbona huelezei sasa??

Halafu huo ujanja wa keyboard unavutia wajanja wenzio wa kiukweli ohoooo

Navaa helmet in case utarusha mawe.

Namsubiria mama kubwa Sky Eclat akishindwana na yule mkorea sijui teh teh
I'm taken mkuu
 
Mihogo Ya Jioni Haina Kachumbari

Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
"Miss natafuta" kaamua kusema ukweli.
Hana mda na ticktack, [emoji28], vijana wa mjini hapo wameshatupwa nje ya vigezo, papuichi haigaiwi kama karanga!
 
natafuta mwanaume wa kula nae uzee
miaka 38 na kuendelea.vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue
usiwe umepeana talaka na mkeo ,au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki

uwe mtu mzima mwenye kujitambua
uwe unaishi dsm mahusiano ya mbalimbali sitaki.
kama kawaida hakuna kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto .ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka
uwe tayari kupima ngoma
sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.
email missnatafuta2017@gmail.com
mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
Mbona wewe bado mdooooogo, subiri 45!

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Njoo mpenzi njoo

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
kwani wewe hujapataga tu? watu wa umri uliotaja tuna mambo mengi ada na familia zinatutazama tafuta vijana wenzio
 
Back
Top Bottom