Natafuta baba watoto

Natafuta baba watoto

Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.

Usiwe umepeana talaka na mkeo.

Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.

Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.

Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.

Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.

Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.

Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
We miss natafuta utuambie kama unakusanya questionnaire humu...bado hujapata...???na kama hujapata kwa nini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani wewe ndio unatafuta mume ila masharti kama mganga mpaka na expire date???? Saa si ni bora ukae tu single. Halafu unasema awe hajatalikiana, wewe hijawahi kuwa na uhusiano na kuachana na x?? Ama waliotalikiana wako na alama fulani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.

Usiwe umepeana talaka na mkeo.

Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.

Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.

Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.

Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.

Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.

Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
37 years old, 1 year less to fulfill the condition

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Nisubiri mwaka kesho nitakuwa na 38

Post sent using JamiiForums mobile app
 
atakaekuwa wa kwanza kunitafuta nitamfikiria zaidi labda tushindwane tu ndo nitatafuta mwingine
What if na mimi ukakutana na email yangu ya maombi utaisoma kweli?? Au ndiyo utaipeleka spam..![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Natafuta mwanaume wa kula nae uzee miaka 38 na kuendelea, vijana vijana hawa sina muda wa kupeana stress so usijisumbue.

Usiwe umepeana talaka na mkeo.

Au mmefarakana kwa njia yoyote labda awe amefariki.

Uwe mtu mzima mwenye kujitambua.

Uwe unaishi DSM mahusiano ya mbalimbali sitaki kama kawaida hakuna.

Kungonoka ila mwezi wa tisa tutaanza kutafuta mtoto.

Ndoa sio harusi tutafunga hata ya mkeka uwe tayari kupima ngoma sina masharti mengi kwa hapa nitachambua huko huko mbele ya safari.

Email missnatafuta2017@gmail.com
Mwisho wa maombi ni week mbili toka leo
Duuuuuu!!!!! Kazi kweli kweli , pitia profile za jf members utakae muona anafaaaa mPM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwe muhenga miaka 40 mpaka mia.
viserengeti mnanipenda sana Mimi napenda kulelewa pia sikupata mapenzi ya kutosha kutoka kwa baba so nataka mtu wa kuchukua nafasi yake. Uwe mpenzi Uwe baba
Kupima HIV muhimu
Mizinga muhimu sipendi makuu ila sitaki bahili
Uwe tayari kuzaa na kulea.
Email yangu ni
Simu
 
Back
Top Bottom