Natafuta baba watoto

Natafuta baba watoto

Uwe muhenga miaka 40 mpaka mia.
viserengeti mnanipenda sana Mimi napenda kulelewa pia sikupata mapenzi ya kutosha kutoka kwa baba so nataka mtu wa kuchukua nafasi yake. Uwe mpenzi Uwe baba
Kupima HIV muhimu
Mizinga muhimu sipendi makuu ila sitaki bahili
Uwe tayari kuzaa na kulea.
Email yangu ni
Simu

Tatizo unafanya umri kua issue. Wadogo zako wanaweza kukulea vilele.
 
Uwe muhenga miaka 40 mpaka mia.
viserengeti mnanipenda sana Mimi napenda kulelewa pia sikupata mapenzi ya kutosha kutoka kwa baba so nataka mtu wa kuchukua nafasi yake. Uwe mpenzi Uwe baba
Kupima HIV muhimu
Mizinga muhimu sipendi makuu ila sitaki bahili
Uwe tayari kuzaa na kulea.
Email yangu ni
Simu
Kumekuchaa kumechaa...
 
atakaekuwa wa kwanza kunitafuta nitamfikiria zaidi labda tushindwane tu ndo nitatafuta mwingine
we hujatujua sie vidume... huwa hatujalishi tangazo lako ila muhimu weka mezani tuone mzigo upoje tujitose.. usije tuuzia ...la misumari bureeee nan anataka mishida ya ainahii.. WEKA VITU MEZANI TUONE MZIGO VIDUME TUGOMBANIEEEEEE
 
Sasa umri wa miaka 40+ awe hajawahi kuoa!?? Kwa hiyo sisi tuliotalikiana unatuhukumu..!!?? Ondoa hilo sharti me nije tuyajenge. Lkn unavutia!?? Maana km huvutii inabidi uwe mtamu sana!!!
 
Back
Top Bottom