Hebu mtuache.Mhmhmh,pacha wako Madame B yupo wapi?!! Karudi Tanga vijijini?!! Mpo Jf zaidi ya 10 years halafu mko sealed eeeh?!!
Hahahaha, sealed hata ya kwapa huna wewe!!!Hebu mtuache.
Yule wa Rwanda ana 102 na bado bikra anatafuta wa kumuoa....itakuwa mimi.
Tanga haendi mtu, tutabanana hapahapa....
Me niko sealed.
Unafukua makaburi sasa.Hahahaha, sealed hata ya kwapa huna wewe!!!
Ule mkasa wako wa upwiru hadi ukambaka Snop Dogg Dogg uliniacha hoi sana!!
Kwenye member wa wale dadaz wa Real Madrid barabara ya 4 huenda umebaki wewe tu.
Hahaha. Basi basi mtanga mwenzangu. Nipe location nije weekend tunywe gahawa na kashata za kungu manga!!!Unafukua makaburi sasa.
JLW limenifanya niwe mpole ghafla....
Haya, Jumamosi utanikuta The Bistro Nkuhungu.Hahaha. Basi basi mtanga mwenzangu. Nipe location nije weekend tunywe gahawa na kashata za kungu manga!!!
The bistro ya Tanga ama Dom?!!Haya, Jumamosi utanikuta The Bistro Nkuhungu.
Ya DomThe bistro ya Tanga ama Dom?!!
Duh,nipo Tanga till FebruaryYa Dom
Tanga nisharudi
🤣🤣🤣🤣 Doto umekuja kutetea dada!!!Kwani jf inatoa watu bikra?
We bana achana na mie hizo bikra zako kaombee mkopo bank....mi nna mawazo hapa🤣🤣🤣🤣 Doto umekuja kutetea dada!!!
Kama nawe upo sealed tuambie ya wapi!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huko mtaani hakuna visichana?
Wapo wanavaa visendo vya manyoya manyoya
😂Mbona huwataki wanachuoKama unajijua haujazidi miaka 22 jongea inbox, nipo serious, uchumba badae ndoa.
Rangi yoyote, lakini akiwa Mweusi itapendeza zaidi
Elimu yoyote, ila kam umeishia 4m4 utapewa first priority
Ukiwa mrefu sawa, ila ukiwa mfupi itakua poa sana
Ukiwa dar itakua Bora zaidi lakini nawakaribisha kutoka Mikoa yote tz, na mataifa mbali mbali, inbox ipo wazi nasubiri meseji yako.
Hahahahaha!! Haya MamaaWe bana achana na mie hizo bikra zako kaombee mkopo bank....mi nna mawazo hapa