Natafuta Binti asiezidi miaka 22

Natafuta Binti asiezidi miaka 22

Mhmhmh,pacha wako Madame B yupo wapi?!! Karudi Tanga vijijini?!! Mpo Jf zaidi ya 10 years halafu mko sealed eeeh?!!
Hebu mtuache.
Yule wa Rwanda ana 102 na bado bikra anatafuta wa kumuoa....itakuwa mimi.
Tanga haendi mtu, tutabanana hapahapa....
Me niko sealed.
 
Hebu mtuache.
Yule wa Rwanda ana 102 na bado bikra anatafuta wa kumuoa....itakuwa mimi.
Tanga haendi mtu, tutabanana hapahapa....
Me niko sealed.
Hahahaha, sealed hata ya kwapa huna wewe!!!

Ule mkasa wako wa upwiru hadi ukambaka Snop Dogg Dogg uliniacha hoi sana!!

Kwenye member wa wale dadaz wa Real Madrid barabara ya 4 huenda umebaki wewe tu.
 
Hahahaha, sealed hata ya kwapa huna wewe!!!

Ule mkasa wako wa upwiru hadi ukambaka Snop Dogg Dogg uliniacha hoi sana!!

Kwenye member wa wale dadaz wa Real Madrid barabara ya 4 huenda umebaki wewe tu.
Unafukua makaburi sasa.
JLW limenifanya niwe mpole ghafla....
 
Kama unajijua haujazidi miaka 22 jongea inbox, nipo serious, uchumba badae ndoa.

Rangi yoyote, lakini akiwa Mweusi itapendeza zaidi

Elimu yoyote, ila kam umeishia 4m4 utapewa first priority

Ukiwa mrefu sawa, ila ukiwa mfupi itakua poa sana

Ukiwa dar itakua Bora zaidi lakini nawakaribisha kutoka Mikoa yote tz, na mataifa mbali mbali, inbox ipo wazi nasubiri meseji yako.
😂Mbona huwataki wanachuo
 
Back
Top Bottom