Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kila lakheri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kabinti hapa toka Tanga ila hakajuwi kusoma wala kuandika lugha ya taifa bali kamekariri vitabu vya Juhuzuu tu, pia dini inamkataza kukaa karibu na mbwa....nikutambulishe kwake?Naitaji binti mdogo kutoka Tanga
Sifa zake
Kama una mtu njoo PM mwisho saa 10 jioni
- Ajue kuendesha Bodaboda
- Ajue kupika bites zote
- Ajue kusoma na kuandika
- Majukumu yake
- Kusafisha nyumba na mazingira
- Kufua na kupika sometimes.nyumba ina mke na Mume tu
- Kulisha mbwa na kuku sio wengi na Bata bukini 4 tu
- Kutengeneza bites za kuuza maduka kumi huu ni mradi wake na mama mwenye nyumba
Wa kiume hapana.mbona wadada wengi tu wanaendesha??Nawaza tu lile lipikipiki lilivyo lizito jamani
Si utafute wa kiume
Kwa mapishi watu wa Tanga wapo vizuri sana ,Why Tanga, unataka baada ya kazi ufanye mawasiliano ya Tigo?
Hahaa sijawahi ona aisee..naona Inahitaji msuli sana na nguvu kuendesha.au ni hizi nyepesi ndogo ndogo za kihindi?Wa kiume hapana.mbona wadada wengi tu wanaendesha??
Mizunguko tu bossBila shaka boda boda ni kwa ajili ya kubebea mambwa ili yakaogelee na kupunga upepo.
Mbona me naendesha toyo hyo.hutaki hela wewe.hela haiji kirahisi abigailHahaa sijawahi ona aisee..naona Inahitaji msuli sana na nguvu kuendesha.au ni hizi nyepesi ndogo ndogo za kihindi?
Mapishi yako tangaWhy Tanga, unataka baada ya kazi ufanye mawasiliano ya Tigo?
Haha najua haiji kirahisi na unahitaji kufanya hata usivyofikiria kufanya tena view vigumu ili ufanikiweMbona me naendesha toyo hyo.hutaki hela wewe.hela haiji kirahisi abigail
Usiku njoo mama jpmInterview ni lini? Nimeshatuma maombi
Ahaaaa WalaBint wa kitanga? natamani ningekua mmeo
Kumbe ??Haswa awe msambaa aisee wanachapa kazi hawa
Hahahahaha khaa!!Hizo bites za kupikwa na mlisha mbwa siwezi nunua
Duuuh jf kuna mambo 😄😄😄😄😄Hizo bites za kupikwa na mlisha mbwa siwezi nunua