Kiokotee
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,675
- 2,211
Shamba lipo Dar
Akitoka Kanda ya Ziwa itakuwa poa.
Sifa:
Anaejitambua.
Asiwe na Mume labda Mtoto 1
Awe Hajasoma sana,Std 7
Awe tayari kupima Afya
Kazi Yake;
Kupikia Wafanyakazi wa Shamba
Kuhudumia mifugo
Usafi wa Nyumba
Ulinzi wa eneo husika.
Eneo Husika:
Ekari 3
Nyumba 2
Kuku,Bata,Mbwa.
Migomba,miwa,Korosho,Embe etc
Mahitaji;
Kula Bure
Kulala bure
Mshahara 100000/-
N.b:Mkataba Unaanzia Mwaka 1
Njoo PM.
Akitoka Kanda ya Ziwa itakuwa poa.
Sifa:
Anaejitambua.
Asiwe na Mume labda Mtoto 1
Awe Hajasoma sana,Std 7
Awe tayari kupima Afya
Kazi Yake;
Kupikia Wafanyakazi wa Shamba
Kuhudumia mifugo
Usafi wa Nyumba
Ulinzi wa eneo husika.
Eneo Husika:
Ekari 3
Nyumba 2
Kuku,Bata,Mbwa.
Migomba,miwa,Korosho,Embe etc
Mahitaji;
Kula Bure
Kulala bure
Mshahara 100000/-
N.b:Mkataba Unaanzia Mwaka 1
Njoo PM.