Natafuta Binti Wa Kulinda Shamba!

Aisee!
Binti anaweza kazi ya ulinzi?
Mbona vigezo vinaashiria kama unawinda mdada wa kumla😊
 
Hapo kwenye binti kupima afya ndy pataleta shida.

Au kuna Kazi zingine za usiku?
Maana madada wa kazi wanabeba mengi Sana moyoni.
 
Kanda ya ziwa. Apime afya. Awe anajitambua. Asiwe na watoto,labda mmoja. Asiwe ameolewa

Ongezea awe mzuri,mrefu wastani. Chura iwepo. Maana wewe unataka ukikorofishana na wife town,soon unaaga unaaga unaenda shamba kupunguza mawazo kumbe unaenda kula mbususu ya binti
 
Kama unatafuta mke si useme tu maana kupima wakati hakuna cha kuambukiza hapo ni kituko. Na idadi ya uzao wake sidhan kama ni kigezo muhimu.
 
Kama unatafuta mke si useme tu maana kupima wakati hakuna cha kuambukiza hapo ni kituko. Na idadi ya uzao wake sidhan kama ni kigezo muhimu.
Nina wake 2 ,Halafu hayo mambo ya ngono sisi wengine sio priority kivile,Tukiamua tunakula hata michepuko ipo ya kumwaga kwani yeye atakuja na mbunye kutoka wapi ambayo ina ladha tofauti muhimu kazi na hata yeye akinipa ntamla tuu kimasihara!!
 
Chagua mchepuko mmoja huko ajiri mkuu
Nina wake 2 ,Halafu hayo mambo ya ngono sisi wengine sio priority kivile,Tukiamua tunakula hata michepuko ipo ya kumwaga kwani yeye atakuja na mbunye kutoka wapi ambayo ina ladha tofauti muhimu kazi na hata yeye akinipa ntamla tuu kimasihara!!
 
Kama unataka mtu wa kusimamia kazi za shamba kweli nakushauri ungetafuta mwanaume.maana nimeona atafanya pia na kazi ya ulinzi .Wakorofi huwa wanadharau sana wakijua shamba linalindwa na mwanamke. Kama kupika mwanaume ndiyo mwenye uwezo wa kupikia wanadzengo siyo mwanake.

Unataka kumuingiza kwenye mazingira ya kunyanyasika kijinsia.yaani atanyanyasika sana kijinsia na hao wafanyakazi wako wengine.

Otherwise kama unadhani mwanamke ni mwaminifu ,utakuja kuwa disappointed vibay.kwa sababu ni standard 7,wengi wao wanadanganyika kirahisi,yaani anatapelika kirahis.utakuja kushituka shamba jeupe
 
Mwanaume anaweza kubali kupikia wanaume wenzie,Halafu kuhusu kuvunjiwa heshima halitokuwepo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…