kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 702
- 759
Wakuuu habarini.
Naishi Mbezi beach nimepanga nyumba nzima peke yangu sina familia, natafuta binti wa kushare nae cost asiekuwa na familia ntampa chumba kimoja self kikubwa atalipa laki moja tu na mimi nitabakia na sehemu yangu.
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule. Pia ntamruhusu kutumia sebule yangu akihitaji bcoz mimi sina pia familia. Umri wangu miaka 34. Nimefanya hivyo kwasababu ya usalama mimi ni mtu wa kusafiri sana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Naishi Mbezi beach nimepanga nyumba nzima peke yangu sina familia, natafuta binti wa kushare nae cost asiekuwa na familia ntampa chumba kimoja self kikubwa atalipa laki moja tu na mimi nitabakia na sehemu yangu.
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule. Pia ntamruhusu kutumia sebule yangu akihitaji bcoz mimi sina pia familia. Umri wangu miaka 34. Nimefanya hivyo kwasababu ya usalama mimi ni mtu wa kusafiri sana.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.