Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kulwaaaa......!!!!Domo zege pro max at your service
Binti awe around age ipi?
Si uajiri mlinzi.Wakuuuu mmekuza mada shezi kabisa nataka binti kwa ajili ya usalama wa mali zangu nikiondoka sitaki mwanaume
Naaamkulwaaaa......!!!!
Wakuuuu mmekuza mada shezi kabisa nataka binti kwa ajili ya usalama wa mali zangu nikiondoka sitaki mwanaume
Rafiki alimuachia nyumba demu akasafiri alivyorudi majirani wakamuuliza umekuja kututembelea leo kabla hajaingia ndani alichokikuta ndani acha tuWakuuu habarini.
Naishi mbezi beach nimepanga nyumba nzima peke yangu sina familia natafuta binti wa kushare nae cost asiekuwa na familia ntampa chumba kimoja self kikubwa atalipa laki moja tu na mimi ntabakia na sehem yangu .
Nyumba ina vyumba vitatu na sebule.Pia ntamruhusu kutumia sebule yangu akihitaji bcoz mimi sina pia familia.Umri wangu miaka 34.
Nimefanya hvo kwasababu ya usalama mimi ni mtu wa kusafiri sana .
Natanguliza shukrani zangu za zati.