Natafuta Binti wa kushare naye cost za nyumba

Natafuta Binti wa kushare naye cost za nyumba

Wakuuuu mmekuza mada shezi kabisa nataka binti kwa ajili ya usalama wa mali zangu nikiondoka sitaki mwanaume
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rafiki alimuachia nyumba demu akasafiri alivyorudi majirani wakamuuliza umekuja kututembelea leo kabla hajaingia ndani alichokikuta ndani acha tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom