kibovu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 702
- 759
- Thread starter
- #101
mkuuuu mimi nalipa renti ya laki nne for moth unaamini bado sina pesa shezi kabisaUkishakula tunda na Kodi utalipa wewe mwenyewe na kumfukuza hautaweza maana anabaki kuwa mpangaji wako mwenzio 😃😃😃😃 dogo tafuta hela wanawake wanajitongozesha siku hizi acha kuhangaika utalogwa bure.