Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

madam Z kwanini hata tuliachana, haipendezi kuweka hadharani mambo yetu hapa jamvini, ungesema tu unahija boy friend.. Ujue mie ninakupenda na ninaendelea kukupenda?
 
Last edited by a moderator:
Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.
hapo ndo mimi ninayo, njoo ila usikimbie, maana nina kipaji kanipa mungu. utatendewa haki haina haja ya kwenda kuomba msaada wa kisheria ya masuala ya kitandani. karibu uamuzi ni wako. ukitaka raha utapewa.
 
Mwambie tu ni wewe wala siyo mzee wa miaka 50, acha kuzunguka njia ndefu.

saudari
Aaaa Mkuu,,mie bado mdogo..tunajitahidi sana kuwaunganisha wajaribu bahati zao.
Mie nasubiri jibu la Purple kwa nini nijifiche
 
Last edited by a moderator:
M2mish we2 uko sawa kwa huo ushauri. mie npo tayar but uchumba kwanza. afu uwe m7to ki iman. nichek knye naxfra@yahoo.com
 
Wazushi tu hawa...mie nshatuma PM mpaka nimechoka! Juzi juzi mmoja kanikosesha Smile hivi hivi!
 
Last edited by a moderator:
saudari
Aaaa Mkuu,,mie bado mdogo..tunajitahidi sana kuwaunganisha wajaribu bahati zao.
Mie nasubiri jibu la Purple kwa nini nijifiche

Mtoto anajisemaga?
Acha hizo wewe changamkia dili faster kabla wajanja hawaja kuwahi.
 
Hi naitwa abdalah ninaishi mwanza my email Kkajuna@gmaii.com elimu yangu master degree
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…