Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

Natafuta boyfriend atakayekuwa mume wangu baadae!

poa mi2 npo tayar! na nimwajiriwa wa wizara ya mambo ya ndan na elimu yangu dip in IT and cert in LAB ASS kwahyo namba zangu za simu ni hz hapa kama utapenda let us comm 0762581579 ana 0764188417
 
Habari,

Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26. Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging

ID yako ya zamani ni ipi?

halafu hebu ni PM picha ya hayo makalio ya wastani basi mtu wangu jamani!!!!!!
 
I believe what you have written is a mere fact coz the forum is designated for serios people, assuming error terms are in a total control.

Im a male Tanzanian aged 31, UDSM graduate (2008) in BA Economics, Economist at the Ministry...., in Dar! Im not conversant with PMs but if you could send me private means of communication then we may stand a better chance to discuss the matter as I believe I may suit ur dreams. Ukini-PM naweza kufungua inbox ila kusend huwa napata shida kidogo. So could you do the opposite?

I would appreciate if you inbox me!





Habari,

Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26. Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging
 
Habari,

Nadhani nipo katika jukwaa sahihi la mahusiano. Mimi naitwa xx, mzaliwa
wa Pangani Tanga kwa mama Mdigo na baba Msambaa. Umri wangu ni miaka 26.
Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa
na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana
tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine
na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani
naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa
sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya
Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au
aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa
muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo
wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi
mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa
tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging

Good luck
 
I'm single boy lookin for a real woman,am 27 working in security fund,muslim.f ua interested pm me.thanx


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Mbona id za madame zipo myingi hiv? nadhan kuna madame A to Z au zaod ya hapo! nafkir kuna kuna madame m1 mwenye madame id kibao humu ndan
 
sagamawe wako wapi jaman na yy je njoo mtoe msaada huku..........
.....................................................................Nimemaliza first degree (BA-Econimics) mwaka jana, UDSM. Nimewahi kuwa
na uhusiano na mkaka fulani kuanzia mwaka wa kwanza hadi mwaka jana
tulipomaliza chuo tukaja kuachana kwani niligundua ana wasichana wengine
na mwishowe alinitamkia kuwa anayetaka kumuoa ni yy, na wala sio mimi.

Kimaumbile, ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde (nadhani
naeleweka). Si mnene sana lakini nina makalio makubwa ya wastani. Kwa
sasa nimeajiriwa hapa Dar es Salaam katika NGO fulani maeneo ya
Mikocheni na makazi ni maeneo ya kurasini.

Ningependa mwanaume wa aina yeyote kimaumbile lakini awe ni mwajiriwa/au
aliyejiajiri....kabila ni yeyote ila awe ni mkristo.....na kama atakuwa
muislam basi awe tayari kubadili dini. Sifa ya ziada, ni mwenye uwezo
wa kuutendea haki mwili wangu katika mambo fulani.

Mahusiano yetu ya boyfriend na girlfriend yanaweza chukua miezi 10 hadi
mwaka kabla hatujawa wachumba rasmi kwani naamini tutakuwa
tumeshafahamiana.

Whoever's ready we can start having PMs exchanging[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom