Lady Janet
Senior Member
- Oct 9, 2016
- 167
- 161
Nitafute pm tafadhariHabari zenu wana jf
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level,
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Jiandae kukutana na ma fortune hunters, waukaange Roho yako inyauke kama ganda LA muwa LA mwezi uliopitaHabari zenu wana jf
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level,
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Habari zenu wana JF,
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Maji ya kunde ukimaanisha Maharage ya Mbeya?[emoji15]
Brother nimesema elimu kuanzia O'level,pia unaweza kuuza kilevi na usiwe mlevi.Katiba ya jamhuri ya muungano inaweka wazi kwamba kila mtu ana uhuru wa kuishi,kufurahi na kupata faragha kwa maana ya mpenzi and likely, sasa kwa kuwa elimu umeweka kigezo cha O'level ambacho ni asilimia ndogo sana ya Wenye elimu hiyo ambao wanajimudu kimaisha huoni kwamba ungefuta suala la kuhakiki vyeti ili kupanua wigo wa waombaji wa nafasi?
Na kuhusu suala la ulevi hudhani unaweza kupata mtahiniwa wa nafasi hiyo anayekufaa ambaye anaingiza kipato chake kupitia biashara ya ulevi na vilevi?
Habari zenu wana JF,
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
ngada n niniunatoa ngada?
msitunyanyapae wenye flatscreenKama una chura anae ruka ruka njoo pm haraka Sanaa mume umeshapata