Natafuta boyfriend

Natafuta boyfriend

Umenipata mama twende pm(faragha) kabla ya yote maana hapa kuna wanafki hawakawii kuskia mwanaume mwenyewe anapua ka mume wa shamsa ford.
 
Hapa ndipo unaanza kumbuka yule jamaa uliyemtosa kisa humpendi.
Unatamani siku zirudi nyuma lkn haiwezekani. Moyo unauma na kuwaza ila unapiga konde moyo kwa matumain kuwa ipo siku nami nitampata wangu
All the best utampata tu
 
Hapa ndipo unaanza kumbuka yule jamaa uliyemtosa kisa humpendi.
Unatamani siku zirudi nyuma lkn haiwezekani. Moyo unauma na kuwaza ila unapiga konde moyo kwa matumain kuwa ipo siku nami nitampata wangu
All the best utampata tu
Ha ha
 
Habari zenu wana JF,

Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea

Asanteni
Naweza kupata mawasiliano yako Lady Janet
 
Habari zenu wana JF,

Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.

WASIFU WANGU

Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea

Asanteni
1476627619235.jpg
 
Hapa ndipo unaanza kumkumbuka yule jamaa aliyekupenda kwa moyo wote, aliyejitolea ili awe nawe lkn ukawa busy kuokota mawe huku umeacha dhahabu.
Umekuja kushtuka una mawe mkononi na hayana thamani tena, aliyekushikisha mawe alishasepa siku nyingi.
Kurudi kwa jamaa haiwezekani sbb tayari ameshaoa.
Ukiangalia muda ndiyo unakimbia km unakimbizwa vile, huon mtu ila unajipa matumaini.
Ukiona mwanamke kafikia hatua hii ya kusema mwenyewe ujue maji yamefika shingoni.
ALL THE BEST
 
Dada yangu wala hutafuti boyfriend wewe upo lonely sana. Sa tisa usiku umemuwaza boyfreind? Si bure ila utapata we sali tu
Saint Ivuga Bana Je NA Wewe Usiku huo ulikuwa una tafuta nini.By the way tumsaidie ndugu yetu apate Boyifurendi.Umri usiwe kigezo cha kumshambulia. just Remember Age is just a number!
 
Saint Ivuga Bana Je NA Wewe Usiku huo ulikuwa una tafuta nini.By the way tumsaidie ndugu yetu apate Boyifurendi.Umri usiwe kigezo cha kumshambulia. just Remember Age is just a number!
Nimemuomba namba ili nimuombee
 
Hapa ndipo unaanza kumkumbuka yule jamaa aliyekupenda kwa moyo wote, aliyejitolea ili awe nawe lkn ukawa busy kuokota mawe huku umeacha dhahabu.
Umekuja kushtuka una mawe mkononi na hayana thamani tena, aliyekushikisha mawe alishasepa siku nyingi.
Kurudi kwa jamaa haiwezekani sbb tayari ameshaoa.
Ukiangalia muda ndiyo unakimbia km unakimbizwa vile, huon mtu ila unajipa matumaini.
Ukiona mwanamke kafikia hatua hii ya kusema mwenyewe ujue maji yamefika shingoni.
ALL THE BEST
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom