Mbalamwezi1
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 2,073
- 2,026
mbona umeulizia kuwa mweupeHapana
Sounds like a male[emoji72]Brother nimesema elimu kuanzia O'level,pia unaweza kuuza kilevi na usiwe mlevi.
Habari zenu wana JF,
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Yeah! Napenda wanawake weupe (Halisia)mbona umeulizia kuwa mweupe
waliowazalishawaliozaa watachukuliwa na nani sasa kama mnawatenga
OoohYeah! Napenda wanawake weupe (Halisia)
msiwafanyie hivyo nao wanahitaji kupendwawaliowazalisha
YeahOooh
Je ni bikra au ndio umeshapatwa mbona husemiHabari zenu wana JF,
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
NIANZE KUHUDUMIA MTOTO WA MWINGINE TENA?msiwafanyie hivyo nao wanahitaji kupendwa
Ndio kwani ana kosa gan mtto wa mwenzio ni wakoNIANZE KUHUDUMIA MTOTO WA MWINGINE TENA?
tatzo lenu watoto wetu wa nje huwa mnawatesa lakini wenu nyie mnataka tuwalehe ndio maana single mother siwapendei hapo tuNdio kwani ana kosa gan mtto wa mwenzio ni wako
Napita tuHabari zenu wana JF,
Ninahitaji boyfriend alie serious na awe na ajira awe mkristo
asiwe mlevi awe na elimu kuanzia O'level.
WASIFU WANGU
Mimi nina umri wa miaka 31
Maji ya kunde
Mkristu
Nimeajiriwa
Nina kipato cha wastani tu
Nina jitegemea
Asanteni
Me sina kazi ila Mkristo.Kama hutojali ni PM uwe unanimegea kidogoOokey bila giza tusingeziona nyota