Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Equation x anapenda sana wanawake walojazia dada tafadhali akija PM kimbia anabalaa si la nchi hii.Sina mengi nna miaka 26 natafuta boyfriend for serious relationship tupendane na kuangalia nini future imetuandikia pamoja.. nipo Dar
SIFA ZANGU
White
Tall ft 5'5
Kibonge wastani
self employed
Muslim
SIFA ZA MWANAUME NIMTAKAE
Umri 30 - 40
Awe mrefu
Muslim
Employed/self employed
Bwanaee mambo matamu hayo mrembo white mwenye nyama zake za wastani anataka de libolo. Vp ushamcheki PM?Mzee wa kupambania, mzabzab kazi kwenu wakuu.
Wafupi twende wapi?Sina mengi nna miaka 26 natafuta boyfriend for serious relationship tupendane na kuangalia nini future imetuandikia pamoja.. nipo Dar
SIFA ZANGU
White
Tall ft 5'5
Kibonge wastani
self employed
Muslim
SIFA ZA MWANAUME NIMTAKAE
Umri 30 - 40
Awe mrefu
Muslim
Employed/self employed
Naomba kujua size yako ya kiuno na size chini ya kiuno kuzunguka hipsSina mengi nna miaka 26 natafuta boyfriend for serious relationship tupendane na kuangalia nini future imetuandikia pamoja.. nipo Dar
SIFA ZANGU
White
Tall ft 5'5
Kibonge wastani
self employed
Muslim
SIFA ZA MWANAUME NIMTAKAE
Umri 30 - 40
Awe mrefu
Muslim
Employed/self employed
Npo hapaSina mengi nna miaka 26 natafuta boyfriend for serious relationship tupendane na kuangalia nini future imetuandikia pamoja.. nipo Dar
SIFA ZANGU
White
Tall ft 5'5
Kibonge wastani
self employed
Muslim
SIFA ZA MWANAUME NIMTAKAE
Umri 30 - 40
Awe mrefu
Muslim
Employed/self employed
😅😅 nife na njaa mdogo wanguEquation x anapenda sana wanawake walojazia dada tafadhali akija PM kimbia anabalaa si la nchi hii.
mzabzab huyo mkimbie kabisa usijitese dada angu.
DeepPond huyu akija jua kabisa ameoa na atakufanya mchepuko wa kudumu Ila mchepuko mkuu akigundua(MamaJ) utapigwa juju.
Carrasco putin huyu yeye anataka wanawake wenye pesa tu.
National Anthem huyu achana nae tu maan mhhhhh.
Mshana Jr huyu asikudanganye ameoa na ana mchepuko hapa ndani.
Biashara matangazonaona mapambano ya maisha yamekuwa makali mpaka mabinti wadogo wanapiga bora liende
Bado weweMashallah Kila la kheri
Tatizo wanaume wafupi mna gubu sana🤣Wafupi twende wapi?
Najua umeongopa tu kusema unatafuta mume,haya kila la heri
Lakini tunajua kupenda halafu hatuna mambo mengi.Hao warefu mnaowapenda sio waaminifu kwa sababu wanatafutwa sana [emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo wanaume wafupi mna gubu sana[emoji1787]
Mwari wetu mkali hatari🤣🤣🤣Sio kila unaemuona anatafuta mpenz mtandaoni basi anajiuza , usikariri maisha nakuukaza ubongo wako kuamini vitu vya kipuuz kila wakati.. hujui chochote kuhusu mimi So piga kimya