Natafuta boyfriend

smartphone

Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
20
Reaction score
15
Kwa jinsia mi ni dada wa miaka 27 ,natafuta boyfriend. Atakaye nipenda kwa dhati hatimaye tuje kuwa mke na mume,awe ameajiriwa,asiwe na mtoto wala aliyewahi kuoa,awe na hofu na mungu,mkarimu,mrefu,asiwe mweusi sana na la muhimu awe mkristo,
Atakaye meet vigezo ani pm.asante.
 
Umepata...hebu nitwangie 1-800-YES-YEGO ili tuyamalize!.
 

hofu ya mungu ninayo,,,,ila si mkristu,,,,,,,ntabadili tukiwa kwenye uhusiano
 
Mimi nina mzigo mkubwa sana
ikuluni sasa utanifikiria?
 
Mie nina vigezo vyote hapo ila pls weka na vya kwako maana mie napenda mdada natural asiyejichubua,tumbo flat,hips za kishkaji,ziwa saa sita,bamba taa kimtindo,kama unavyo hvyo vigezo ni-PM tule maisha!
 
Mi nina kila kitu ulichokihitaji hapo kasoro kazi! Ila hela ninazo, unasemaje? Kwani unataka kazi au hela? Nipm kama unahitajitafuna mipesa yangu
 
Vigezo ulivyosema, umepata tatizo mm nataka wa kuanzia miaka 22' kushuka.
 
wewe dada, umetaka vyote, lakini si kujua kama huyo boyfriend ana ngoma au la! Ebu funguka zaidi.
 

kazi imeninyima mrembo. Waacha nirudi kwe jukwaa la kazi na tenda nicheki kwanza mchakato.nikipata nitakuPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…