Natafuta Business Partener

Mkuu hata mimi natamani kama ningeweza kupewa mkopo na bank. Lakini si unajua bank hawatoi mkopo mpaka uwe na Asset
Kuna jamaa wanakopesha mashine (sina uhakika) na hio machine inakua ndio dhamana.
 
Hii Lathe Machine ya mwaka gani? Mbona imechoka sana?

Kila la kheri katika hitaji lako...
 
Hii Lathe Machine ya mwaka gani? Mbona imechoka sana?

Kila la kheri katika hitaji lako...
hyo ni used mkuu ndio maana bei yake ni ndogo. Lathe machine mpya bei yake ni kubwa sana, inacheza around $150,000 hadi 300,000 (Hizi ni zile ambazo ni heavy duty)
 
Agiza China, utapata kwa almost nusu ya hio bei lakini utasubiri 45 - 60 days kuipata
 
Agiza China, utapata kwa almost nusu ya hio bei lakini utasubiri 45 - 60 days kuipata
Kuna gharama za usafirishaji na gharama za kulipia bandarini. Kitu ambacho utakuta price imerudi huko huko.

Halikadharika changamoto yangu kubwa kwa sasa hivi ni kwamba sina hyo hela ya kununua au kuagiza hyo machine
 
ni bora kuanza na used inapatikana hela ya kununua mpya mda sio mrefu najua hii deal
 
Chris lukosi ndio shuguli zake hizi za vifaa kama huyu mwamba hapa
 
Niko Dar mkuu
Mkuu naomba Mungu akusaidie ufanikishe, sina uwezo wa kifedha ila nataman sana ningekua business partner/assistant wako kwan na mimi nimesomea fani hio ingawa sina uzoefu sana
 
Nakushauri uwende kwenye Halmashauri y'ako Idara ya Maendeleo ya Jamii inayohusika na mikopo ya 10% KWA Vijana 4%, Wanawake 4% na Walemavu 2%.

Waone na kuwapatia wazo Lako na likiwa limeanisha kila kitu. Ninauhakika watakusaidia kwasababu wazo Lako ni zuri na litaongeza ajira KWA Vijana wengine.

Waweza kunicheki PM kwa maelezo zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…