Habari wakuu.
ELIMU:
Bachelor of science in Mechanical Engineering from University of Dar es Salaam.
UZOEFU
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye masuala ya Machine design, Metal fabrication, Machine operation, Cost estimation, Project management, Leadership na mambo ya Management.
KAMPUNI
Nimesajili kampuni (Brela) itakayokuwa inajihusisha na Engineering services. Lakini kwa sasa sina uwezo wa kifedha kuweza kupata machine zifuatavyo:
1. Lathe machine
2. Milling machine
3. Shaper machine
Hivyo natafuta Investor au business partner ambaye tutashirikiana pamoja.
Kwa mtu ambaye yuko serious anaweza kunitumia ujumbe inbox.
ELIMU:
Bachelor of science in Mechanical Engineering from University of Dar es Salaam.
UZOEFU
Nina uzoefu wa miaka 4 kwenye masuala ya Machine design, Metal fabrication, Machine operation, Cost estimation, Project management, Leadership na mambo ya Management.
KAMPUNI
Nimesajili kampuni (Brela) itakayokuwa inajihusisha na Engineering services. Lakini kwa sasa sina uwezo wa kifedha kuweza kupata machine zifuatavyo:
1. Lathe machine
2. Milling machine
3. Shaper machine
Hivyo natafuta Investor au business partner ambaye tutashirikiana pamoja.
Kwa mtu ambaye yuko serious anaweza kunitumia ujumbe inbox.