Wapendwa natafuta mtu wa kubadilishana nae ideas,awe wa jinsia ya kiume miaka 33 na kuendelea,awe hajaoa,mjane,i mean hana mke,pia asiwe na tabia za kima laya ma laya
Mimi ni nimeolewa nina watoto watatu,mme wangu hajatulia kabisa,hivyo nahitaji mtu wa kupass nae time,
ambae yuko serious please ani PM
sio hivyo unavyodhania
Me nakushauri utafute company ya mwanamke mwenzio mwenye status kama yako muwe mnafarijiana hata kwa kusali pia kuongea na kwenda sehemu mbali mbali ila co mwanaume pls my diaWapendwa natafuta mtu wa kubadilishana nae ideas,awe wa jinsia ya kiume miaka 33 na kuendelea,awe hajaoa,mjane,i mean hana mke,pia asiwe na tabia za kima laya ma laya
Mimi ni nimeolewa nina watoto watatu,mme wangu hajatulia kabisa,hivyo nahitaji mtu wa kupass nae time,
ambae yuko serious please ani PM
Nimechoka,nikianza kusimulia hapa nitajaza page na page,mimi natafuta tu kampany,atlest i can innovate my mind,sio kila saa unadanganywa nipo Mtwara kikazi kumbe yupo sinza gest kalala na kimwana.
matatizo gani?
mbona wanahang na wa kwako?sio vizuri kuhang out na mme wa mtu
mimi naumia sana mme wangu kutoka nje,hivyo basi sitaki mme wa mtu maana mke wake atawaza vinginevyo.na ataumia bureKama wewe ni Mke wa Mtu, kwanini hutaki Mme wa mtu ili iwe ngoma draw
"Two wrongs don't make it right"mimi naumia sana mme wangu kutoka nje,hivyo basi sitaki mme wa mtu maana mke wake atawaza vinginevyo.na ataumia bure