Natafuta campany

Natafuta campany

Status
Not open for further replies.

Amelie

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2008
Posts
202
Reaction score
83
Wapendwa natafuta mtu wa kubadilishana nae ideas,awe wa jinsia ya kiume miaka 33 na kuendelea,awe hajaoa,mjane,i mean hana mke,pia asiwe na tabia za kima laya ma laya
Mimi ni nimeolewa nina watoto watatu,mme wangu hajatulia kabisa,hivyo nahitaji mtu wa kupass nae time,
ambae yuko serious please ani PM
 
Kubadilishana mawazo tu, hadi awe hajaoa??
Walioowa hawana mawazo??

Teh teh teh, watu mnajua jinsi ya kuwamwagia mtama majogoo, ngoja nione jogoo lipi litalalia kisu

Anza kujiandaa, mchinjaji atatoka upande upi??
 
Ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni......Amelie yamekukuta yepi my sist....Nashauri uachane na huu mpango kwani kama unatafuta amani utapoteza hata kidogo uliyobakiza.
 
Kubadilishana mawazo tu, hadi awe hajaoa??
Walioowa hawana mawazo??

Teh teh teh, watu mnajua jinsi ya kuwamwagia mtama majogoo, ngoja nione jogoo lipi litalalia kisu

Anza kujiandaa, mchinjaji atatoka upande upi??

wewe mzito kuelewaaa!
Kubadilishana mawazo, maana yake ni yale 'mawazo unayokuwa nayo ukiukwaa'; sasa mtabadilishana vipi mawazo bila kuambukizana kwanza; au hujui na njia za kuambukizana ni-spell them for you?
 
Kubadilishana mawazo tu, hadi awe hajaoa??
Walioowa hawana mawazo??

Teh teh teh, watu mnajua jinsi ya kuwamwagia mtama majogoo, ngoja nione jogoo lipi litalalia kisu

Anza kujiandaa, mchinjaji atatoka upande upi??
Sio vizuri kuhang out na mme wa mtu
 
wewe mzito kuelewaaa!
Kubadilishana mawazo, maana yake ni yale 'mawazo unayokuwa nayo ukiukwaa'; sasa mtabadilishana vipi mawazo bila kuambukizana kwanza; au hujui na njia za kuambukizana ni-spell them for you?

wewe wasema
 
Ha ha ha, hawa wanataka kuukwaa u_president kama uhuru??

Eti mme hajatulia natafuta wa kubadilishana mawazo, he he he

wewe mzito kuelewaaa!
Kubadilishana mawazo, maana yake ni yale 'mawazo unayokuwa nayo ukiukwaa'; sasa mtabadilishana vipi mawazo bila kuambukizana kwanza; au hujui na njia za kuambukizana ni-spell them for you?
 
Ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni......Amelie yamekukuta yepi my sist....Nashauri uachane na huu mpango kwani kama unatafuta amani utapoteza hata kidogo uliyobakiza.
my dear enough is enough i need some one to pass some og my free time with
 
Akyanani mnajua kuipaka manukato zambi, eti si vizuri 'ku-hang out' na mme wa mtu

He he he, sikujua ku-hang out ni tatizo, hata kama ni baba askofu

Sio vizuri kuhang out na mme wa mtu
 
Wapendwa natafuta mtu wa kubadilishana nae ideas,awe wa jinsia ya kiume miaka 33 na kuendelea,awe hajaoa,mjane,i mean hana mke,pia asiwe na tabia za kima laya ma laya
Mimi ni nimeolewa nina watoto watatu,mme wangu hajatulia kabisa,hivyo nahitaji mtu wa kupass nae time,
ambae yuko serious please ani PM
Unajua ukitafuta ambaye hana mtu haitapendeza cha msingi inafaa ubadili uamuzi toka kwa ambaye hajaoa na upate aliyeoa ili muende sawa na hata ikitokea mkachakachua basi kila mtu ajue kuwajibika,unaowaona wengi ambao hawana wenza ni watu hatari zaidi kuliko wenye wenza.
Ukiona inafaa basi kubadili uamuzi basi utafaidi raha na hata mimi nitafikiria kukupa ukitakacho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom