Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Kubadilishana mawazo tu, hadi awe hajaoa??
Walioowa hawana mawazo??
Teh teh teh, watu mnajua jinsi ya kuwamwagia mtama majogoo, ngoja nione jogoo lipi litalalia kisu
Anza kujiandaa, mchinjaji atatoka upande upi??
Kongosho wacha mie nkachinjwe kwenye mawazo .....................!:rockon: