Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,532
- 2,415
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna caterpillar na tractor za kulimia, kwani wewe unataka caterpillar wataka kutengeneza barabara ndani ya shamba???Wakuu natumai mu-wazima wa afya,
Natafuta Caterpillar la kuvunja shamba. Shamba lipo mkoa Pwani (km 160 kutoka Dar).
Ningependa kujua gharama ya kukodisha, kusafirisha na kama Kuna gharama zingine
Nilivyomuelewa anahitaji kusafisha shamba kama kung'oa miti visiki nk.Kuna caterpillar na tractor za kulimia, kwani wewe unataka caterpillar wataka kutengeneza barabara ndani ya shamba???
Liko wapi caterpillar huwa haiondoki tu bila engineer kuja kuangalia eneo na kuona gharama zitatumika na mafuta yatatumika kiasi gani na kazi ina ukubwa ganiNilivyomuelewa anahitaji kusafisha shamba kama kung'oa miti visiki nk.
Hili pori liko Mkoa wa Pwani, wilaya ya chalinze.Liko wapi caterpillar huwa haiondoki tu bila engineer kuja kuangalia eneo na kuona gharama zitatumika na mafuta yatatumika kiasi gani na kazi ina ukubwa gan
La kuvunja shamba. (Kuangusha miti na kusafisha vichaka)Kuna caterpillar na tractor za kulimia, kwani wewe unataka caterpillar wataka kutengeneza barabara ndani ya shamba???
Kwa wakodisha ma catapillarHili pori liko Mkoa wa Pwani, wilaya ya chalinze.
Hawa Ma-engineer wanapatikana wapi?
Zipo,ukubwa wa eneo lako ni ekari ngapi?Wakuu natumai mu-wazima wa afya,
Natafuta Caterpillar la kuvunja shamba. Shamba lipo mkoa Pwani (km 160 kutoka Dar).
Ningependa kujua gharama ya kukodisha, kusafirisha na kama Kuna gharama zingine
Vizuri umeelezea kila kitu mkuuZipo,ukubwa wa eneo lako ni ekari ngapi?
Geography ya eneo ikoje,na msitu wako upoje pia?,
Gharama ni 100,000/hr,kwa siku linafanya kazi 8hrs,
Gharama za Operator ni zako Tsh 50,000/day bila gharama za malazi,
Diesel ni ya kwako @100ltrs/day,
Inaweza chakata ekari 3-7 kwa siku,
Gharama za kuileta na kuirudisha ni ya kwako,@2,400,000 kwenda na kurudi.
Huyu anatakuwa anataka DozerKuna caterpillar na tractor za kulimia, kwani wewe unataka caterpillar wataka kutengeneza barabara ndani ya shamba???
Hiyo ni bulldozer, kuna excavator, wheelloader, grader. Zote hizo na operate. Unataka ipiWakuu, mwenye kufahamu kuhusu haya macaterpillar naomba anisaidie