Natafuta Caterpillar la kusafisha shamba jipya (pori)

Natafuta Caterpillar la kusafisha shamba jipya (pori)

Nipo Manyoni Singida, Mimi pia Nimenunua heka 50 shamba pori lakn gharama za kusafisha kwa greda ni kubwa mara 4 zaid ya kununua eneo.
Wahusika wa greda waliniambia
Mafuta Lita 24 kwa saa na linafanya Kaz masaa 8, opereta nimlipe Mimi 80000tsh kwa siku, gharama ya usafiri kwenda na kurud ni 1000000tsh na malipo kwa mmiliki wa chombo/greda ni 1000000tsh kwa siku
Jomba hizo ni heavy machine, consumption ya mafuta ni hubwa sana ukizingatia zina horse power kubwa
 
Nakushauri tafuta excavator, hata hivyo gharama za hizo machine zipo juu sana kwakuwa ulaji wa mafuta ni mkubwa kuyokana na horse power kuwa kubwa, maintenance ya mitambo hiyo pia ni gharama sana
 
Nakushauri tafuta excavator, hata hivyo gharama za hizo machine zipo juu sana kwakuwa ulaji wa mafuta ni mkubwa kuyokana na horse power kuwa kubwa, maintenance ya mitambo hiyo pia ni gharama sana
Serious?
Unajua excavator?
gettyimages-129979464-612x612.jpg

Hili litasafisha miti kwa kufunga mnyororo la kuvuta,ama uweke mawili yatembee parallel hakiwa yameunganishwa na myororo
Bado gharama itakua mara 2 na pia utakua hausafishi una angusha miti kama Tembo vile hufanya
 
Wakuu natumai mu-wazima wa afya,

Natafuta Caterpillar la kuvunja shamba. Shamba lipo mkoa Pwani (km 160 kutoka Dar).

Ningependa kujua gharama ya kukodisha, kusafirisha na kama Kuna gharama zingine
0659756647
NO hyo kama uko serious upange siku twende kuona eneo lako na ku negotiate maana umetoa insufficient information
 
Nilitumia excavator kuchimba Barabara kilometer 13 ,ilikuwa ni pori kubwa lenye miti mikubwa sana.

Nilimshukuru sana aliyenipa ushauri wa kutumia excavator badala ya doza maana nilijionea mwenyewe utendaji wa excavator doza isingetoboa hasa kwenye kudondosha miti mikubwa, kuchimba na kung'oa visiki pamoja na kuchimba mawe makubwa ( majabali) ambayo mengi tulilazimika kuyachimbia fonka na kuyazika aridhini.
 
Back
Top Bottom