Natafuta Chaja, Pin Kubwa

FakeGirl Naomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2017
Posts
226
Reaction score
705
Jamani nilikuwa na simu yangu smartphone, ni nzuri ila haikai na chai, dakika chache tu iko hoi

Hadi ilifikia wakati ambapo nahitaji kujipumzisha na simu yangu lakini haina chaji hata ya dakika 5

Nataka ninunue zile za zamani ngangari zinazokaa na chaji hadi siku 7!!!

Pliz yeyote mwenye chaja ya PIN KUBWA anitafute, mi nakosa raha huku kwa sababu ya chaji.

Pliz help me, Am dying with a thirsty of RELIABLE service!

Pin ndogo haitoshi kwenye lile tundu la pin kubwa

Na madukani nimepita hawana.

najua mtaani zitakuwepo hata zile ZILIZOHARIBIKA kidogo.

mi nazitaka hivyohivyo, HATA KAMA ya kuazima

PLIZzz
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unatachaji na box lake???
 
Reactions: dtj
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unatachaji na box lake???

Huyu mdau alikuja na thread jana ya kukutana na mwanaume wa JF, na wakati wa kufanya mambo yetu ilichukua dakika 1 na sekunde 27 jamaa kushusha wazungu.

Kwa hiyo huyu mdau akawa analalamika ni kwa nini iwe hivyo? So naona kaja na uzi wa kutafuta chaja itakayokaa muda mrefu.

Nakumbuka Evelyn Salt alimlengesha Asprin kukagua huyu mdada, tena Bonny akaitwa kwenye ushahidi.
 
ki ukwel nlienda kama shahid wa jamuhur ila unfortunately alikimbia maana mtu mzima Asprin alikuja na stop watch tujue na hapo angesemaje
 
ki ukwel nlienda kama shahid wa jamuhur ila unfortunately alikimbia maana mtu mzima Asprin alikuja na stop watch tujue na hapo angesemaje

Sasa mtu anaulizia chaja pini kubwa, chaja inapatikana halafu anakimbia? Tumweleweje sasa.

Au ndo ukute ni jinsia fake.
 
u girl charger kubwa ain't an issue, are u able to handle it throughout! au ndo wale wale mara oooh wait a minute, waaaait! waaait!
 
Asprin ndo kila kitu ana pin kubwa, ana chaja ya kobe na.power bank
 
Chaja pini kubwa mimi ninayo tena ni kubwa hata uingiaje wake tunduni huwa ni wa rabsha kidogo. Kuna jirani yangu hapa shangazi yake monalisa huwa anaitumia mara kwa mara na huwa anaomba nisiiazimishe kwa mtu....

Sasa nahisi wewe ni mstaarabu nitakuazimisha ila sitaki uing'ang'anie chaja yangu maana kila anayeiazima huwa anataka nimuachi kabisa eti awe anaitumia peke yake.
njoo uichukie ujichomekee mwenyew kweny hilo tundubla simu, kama utataka pini izame yote au izame nusu ni maamuz yako
 
u girl charger kubwa ain't an issue, are u able to handle it throughout! au ndo wale wale mara oooh wait a minute, waaaait! waaait!
mkuu ungeuliza kwanza simu yake ni aina gani? huenda tundu la simu yake ni tundu mtambuka kila chaja inaingia
 
Kama hutojali nikuazime yangu nilisha acha kuitumia baada ya kupata mpya.
 
kila mtu anajua kuwa walahumaanishi ulichoandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…