Natafuta chenga za ngano zinazibaki baada ya kukuboa ngano

Sijuwi kama kwenye ngano kunabaki kitu zikisagwa. Maana kuna ule unga wa atta.

Kwanini usiende kwenye viwanda vya Bakhresa na Azania, nijuavyo hao ndiyo wasagaji wakubwa wa ngano Tanzania.
 
Sijuwi kama kwenye ngano kunabaki kitu zikisagwa. Maana kuna ule unga wa atta.

Kwanini usiende kwenye viwanda vya Bakhresa na Azania, nijuavyo hao ndiyo wasagaji wakubwa wa ngano Tanzania.
Nataka niwapate watu wa Bakhresa humuhumu,sitaki kwenda kiwandani bila uhakika.Asante Faiza kwa mawazo mazuri.
 
Ni ile inayobaki baada ya kukoboa,nimeweka picha hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…