Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Ndo maana nasema huo ni wivu hapo nimeuliza swali au nimeomba ushauri au maoni...as I can see una stress za maisha.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha, wewe jamaa kazi ya supermarket inasababisha uweze kuona nimepigwa na stress za maisha!
Uliza maswali ya maana
Mjinga Sana huyu dogo. Eti mtaa wa kuishi anauliza, kweli? Halafu graduate wa DarHahaha, wewe jamaa kazi ya supermarket inasababisha uweze kuona nimepigwa na stress za maisha!
Uliza maswali ya maana
Mjinga Sana huyu dogo. Eti mtaa wa kuishi anauliza, kweli? Halafu graduate wa Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga Sana huyu dogo. Eti mtaa wa kuishi anauliza, kweli? Halafu graduate wa Dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi mimi nimeuliza swali?au hata kusoma hujui ndo unakurupuka....kwani wanaofanya kazi supermarket sio watu?unaishi maisha ya stress sana wewe
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kazi uliyopata kama ni kuuza duka unaweza ongea na bosi uwe unalala humo humo dukani ili usaidie kulinda mali.
Otherwise hakuna graduate wa Chuo mwenye upungufu wa aina yako.
Kakae Msewe patakufaa sanaHabarin za jioni humu ndani,mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam.
Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa nahitaji ushauri wenu nahitaji kupanga chumba maeneo karibu na maeneo ya kazi au hata kama nitapanda gari moja itakuwa poa naombeni ushauri wenu au muongozo ili nipate abc kabla sijaanza kutafuta chumba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Karibu kwangu Goba ukae bure. Ila uhakikishe asubuhi unafagia uwanja na kulisha nguruwe. Maana Nguruwe ndio biashara inaniweka mini hapaHabarin za jioni humu ndani,mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam.
Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa nahitaji ushauri wenu nahitaji kupanga chumba maeneo karibu na maeneo ya kazi au hata kama nitapanda gari moja itakuwa poa naombeni ushauri wenu au muongozo ili nipate abc kabla sijaanza kutafuta chumba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sinza wanasema kuna wahuni wengi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Karibu kwangu Goba ukae bure. Ila uhakikishr asubuhi unafagia uwanja na kulisha nguruwe
[emoji23][emoji23][emoji23] hii kaliMkuu kazi uliyopata kama ni kuuza duka unaweza ongea na bosi uwe unalala humo humo dukani ili usaidie kulinda mali.
Otherwise hakuna graduate wa Chuo mwenye upungufu wa aina yako.