TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Ni PM yako nikupe namba yng!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni PM yako nikupe namba yng!
Hahahaha!Haya maneno na mambo ya JF sometimes tuyawache humu humu. Kuna jamaa waliwahi kuimba kama tumbo lingekuwa na kioo.......
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuta naye anatokea Buza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha!
Kiduku Lilo tu ndie namuaminia yeye ndie top in Jf
Unapata kabisa ni PM.
Unataka chumba wapi na cha aina gani?
Hicho chumba kitakuwa ni hatari sana!! Inaonekana kina mbio kama magari ya Formula One!!4.Chumba KIBANDA CHA MKAA 80,000/= master full tires plus gypsum
Hahaahahahhhh hiyo kiingereza nilipataga kalai chalii wng ,teacher wa english alikuwa akitinga class mm nasepa tunaendaHicho chumba kitakuwa ni hatari sana!! Inaonekana kina mbio kama magari ya Formula One!!
Watoto wote ni wa mama, au kwenu iko vipi?kama mtoto wa mama haumbulii kitu hapo.
Kama haujui hilo siwezi kukusaidia chalii angu.Watoto wote ni wa mama, au kwenu iko vipi?
TheDreamer Thebeliever chumba maeneo ya mabibo Makutano kinaweza kuwa shilingi ngapi na jee usalama wake kwa kukuza watoto upoje?
[/QUOT]
Chumba cha haina gani,funguka kidogo unipe mwanga maana naweza fikili single room kumbe ww unataka mu appartment wenye mbaka parking ,fence ,gypsum,tiles,mshuani,choo humo humo yaani kifupi weka wazi.
Kama unaona noma ni PM,maaana humu JF kila mtu ni big boss labda usingepend watu wajue unataka chumba cha giza au cha bei ya chini just feel free PM.
Sina haja ya kujificha na ndiyo maana ni "Verified User" nikijua wastani wa chumba "Single" au "Self Contained" ni shilingi ngapi naweza kufanya maamuzi,
Single zinaanzia 40,000/= cha umeme cha giza 20,000/=Sina haja ya kujificha na ndiyo maana ni "Verified User" nikijua wastani wa chumba "Single" au "Self Contained" ni shilingi ngapi naweza kufanya maamuzi,
Hapo sawa. Usalama upoje kwa mtu anayerudi kazini kuanzia saa 3 usiku?Single zinaanzia 40,000/= cha umeme cha giza 20,000/=
Self zinaanzia 80,000/= nakuendelea fanya maamuzi sasa.
Saa tatu sasa si mapema kuna wenzako wanafanya hotelini kwa mhindi wanaingia saa 7 mchana wanaoka saa saba usiku.Hapo sawa. Usalama upoje kwa mtu anayerudi kazini kuanzia saa 3 usiku?
Kwa ivo mambo ya roba za mbao mitaa hiyo ya Mabibo Makutano hakuna? Usafiri najua upo wa uhakika ingawa sijui kuhusu maji ya bomba.Saa tatu sasa si mapema kuna wenzako wanafanya hotelini kwa mhindi wanaingia saa 7 mchana wanaoka saa saba usiku.
Boss wangu hakuna mahali una chumba cha 30 miezi mitatu au viwili kwa 50 ndugu yangu.Bado kuna chumba masters na jiko ,tiles,gypsum ,maji yapo hapo hapo na kuna tank la maji,nyumba ipo kwenye fence mikocheni karibu na TMJ hospital.
Tahadhari :Nyumba haina parking na umeme wa kuchangia wapangaji wanne.
Kodi 120,000/= za kiTanzania.
Vipo unataka chumba wapi Dar Es salaam hii ???Ila hela hizo 30,0000/= unapata chumba ambacho hakina cealing board ukiwa unafny mambo yko chumba cha pili jirani anasikia.Boss wangu hakuna mahali una chumba cha 30 miezi mitatu au viwili kwa 50 ndugu yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app