Kaa hapo hapo Survey kuna rooms cheap sana wanakaa wanafunzi wa Ardhi, UDSM, Maji, na vyuo vingine. Sema ukimpata dalali mwambie wewe Mwanafunzi ila unataka room ya peke yako. Utapata ata ya 60 na wanapokea ata kwa miezi 3. Ukikaa kwa miezi 6 ukishakua umeongeza vitu ndio amia Tegeta uko utapata nyumba ata vyumba viwili.
Usihishi kwa kuigiza sehemu inayokufaa wewe ni Changanyikeni,Makongo name survey. Ila Kama unataka kuigiza maisha nenda kaishi Sinza kwa watoto laini yaani mpaka wanaume wanatumia vipodozi vilivyopigwa marufuku ili wawe weupe.Habari za jioni humu ndani,
mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam.
Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa nahitaji ushauri wenu nahitaji kupanga chumba maeneo karibu na maeneo ya kazi au hata kama nitapanda gari moja itakuwa poa naombeni ushauri wenu au muongozo ili nipate abc kabla sijaanza kutafuta chumba.
Bajeti chini ya laki moja kwa mwezi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tafuta Chumba Sinza, Unaogopa kuliwa?Habari za jioni humu ndani,
mimi ni kijana umri miaka 24 graduate katika chuo kimoja wapo hapa mjini Dar es salaam.
Katika mihangaiko ya hapa na pale nimepata kibarua maeneo ya mlimani city sasa nahitaji ushauri wenu nahitaji kupanga chumba maeneo karibu na maeneo ya kazi au hata kama nitapanda gari moja itakuwa poa naombeni ushauri wenu au muongozo ili nipate abc kabla sijaanza kutafuta chumba.
Bajeti chini ya laki moja kwa mwezi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Dogo kubali tu umekunya, swali ulilouliza ni la kitoto sana na umejionesha kuwa wewe ni mtoto wa mama sana, huwezi kusoma Dar miaka 3+ then uje na swali km hili lako.Halafu humu jf kuna watu wanajifanya wana akili kumbe zero brain....Mimi nimeuliza mtaa wa kuishi? Soma vizur nilichokiandika sio kukurupuka
Sent from my iPhone using JamiiForums
Naweza pata chumba Master,Sebule na Jiko kwa 150K mbezi mwisho?Kama unaitaji chumba maeneo yoyote dalali nipo hapa ,ila nakushauri usipange karibu na maeneo wanayoishi wanavyuo wengi wizi ni mwingi ,harafu kodi zinakuwa zina flactuate mara kwa mara .
Jiepushe na maeneo yenye starehe nyingi kama Sinza au huko Survey hako kamshahara kako ka laki 4. hakataona giza mbili.
Sehemu nzuri ya kupanga kwa mtu kama wewe ni Ubungo ,Tegeta ,Mikocheni hzo sehemu zote zinafikika kirahisi .
Kila la kheri kwenye ajira yako mpya.
Unaogopa kubakwaSinza wanasema kuna wahuni wengi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna mambo ya kuomba ushauri mdg angu dah. Anyway hili NI jukwaa huru
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Kwakweli ila jamaa kuna uzi alidai amejenga Bagamoyo
Kipo 300,000/= maeneo ya Heieneken mikocheni yaani kila kitu umeme unajitegemea na dirisha la kuteleza (slide window) ,jiko,vyumba vipo vitatu yaani kuna chumba sebure na kachumba kadogo unaweza ukamuweka house girl hako kachumba na store.
Unapata ila ngoja ni confirm kesho kama bado kipo!
Haya maneno na mambo ya JF sometimes tuyawache humu humu. Kuna jamaa waliwahi kuimba kama tumbo lingekuwa na kioo.......Aisee! Kwakweli ila jamaa kuna uzi alidai amejenga Bagamoyo
Weka mawasiliano, tupo wengi tunahitaji hii hudumaKama unaitaji chumba maeneo yoyote dalali nipo hapa ,ila nakushauri usipange karibu na maeneo wanayoishi wanavyuo wengi wizi ni mwingi ,harafu kodi zinakuwa zina flactuate mara kwa mara .
Jiepushe na maeneo yenye starehe nyingi kama Sinza au huko Survey hako kamshahara kako ka laki 4. hakataona giza mbili.
Sehemu nzuri ya kupanga kwa mtu kama wewe ni Ubungo ,Tegeta ,Mikocheni hzo sehemu zote zinafikika kirahisi .
Kila la kheri kwenye ajira yako mpya.