Natafuta connection ya wakulima wakubwa na wakati wa mazao mbalimbali

Natafuta connection ya wakulima wakubwa na wakati wa mazao mbalimbali

Triple G

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
3,018
Reaction score
4,369
Hello! Natafuta mtu anayefanya au kuniconnect na wakulima wakubwa na wa saizi ya kati sehemu yoyote Tanzania wanaojihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali! Ikiwemo Parachichi, Maembe, Pilipili, Kunde, mbaazi, Njegere, Maharage e.t.c

Naomba tuwasiliane: 0743 848598
 
We ni mnunuzi au muuzaji?
Kama mnunuzi njoo pm
 
Back
Top Bottom