Djkillertz933
New Member
- Jul 23, 2022
- 2
- 2
Natafuta Daktari wa kumkodi kuna watu wawili wa Miaka 18 wanahitaji kutahiriwa.
Aje na offer kila momja atagharimu bei gani.
Nipo Dar es Salaam
Mimi ingekuwa amri yangu ningebaki nalo tuMkono wa Sweta bado kuna 18+ wanao?
si wanasema sio fresh kukaa nalo?Mimi ingekuwa amri yangu ningebaki nalo tu
Hadi 49 yrs wapoMkono wa Sweta bado kuna 18+ wanao?