Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 283
Msaada aisee,
Nahisi nina sumu nyingi mwilini. Kuna bro hapa alisema kuna dawa inaitwa SAFI. HIyo dawa Inauzwa elfu 6 had elfu 12.
Anyone who knows? Mwili unawashwa, nilimezaga SP mara 4 mfululizo!
Nahisi nina sumu nyingi mwilini. Kuna bro hapa alisema kuna dawa inaitwa SAFI. HIyo dawa Inauzwa elfu 6 had elfu 12.
Anyone who knows? Mwili unawashwa, nilimezaga SP mara 4 mfululizo!