Natafuta Fundi mwenye uwezo wa kufuta DPF kwenye Mazda

Natafuta Fundi mwenye uwezo wa kufuta DPF kwenye Mazda

DPF ni Diesel Particulate Filter
Kwa lugha rahisi ni chujio la hewa gesi (zile za exhaust) ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Kwa Ulaya na Marekani ni requirement/ni lazima kwa sasa ili kulinda mazingira. Nchi za Afrika bado hatuna masharti hayo.
Kinachotokea yale masizi yakijaa kwenye chujio, hewa/gesi zenye joto zinakuwa hazipiti vizuri na gari haipumui vizuri. Joto linaweza kurudi kwenye engine likaharinu turbo hata cylinder head.
Kuzuia au kuchelewesha hilo ndio kitu kinaitwa DPF regeneration, kwa kifupi ni kuisafisha DPF kwa njia ya kuipasha joto gari ili iyeyushe zile taka/masizi/uchafu kwenye chujio. Gari za Diesel za miaka hii zinataka gari iwe inatembezwa umbali mrefu hata mara moja au mbili kwa mwezi ili kuchoma hizo ashes.
Kuna mifumo mingine kwa ajili hiyo pia kama vile EGR, ADBLUE ila kwenye mazda ni dpf na egr tu
Ewaaaaàaah! Hapo sawa
 
DPF ni Diesel Particulate Filter
Kwa lugha rahisi ni chujio la hewa gesi (zile za exhaust) ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Kwa Ulaya na Marekani ni requirement/ni lazima kwa sasa ili kulinda mazingira. Nchi za Afrika bado hatuna masharti hayo.
Kinachotokea yale masizi yakijaa kwenye chujio, hewa/gesi zenye joto zinakuwa hazipiti vizuri na gari haipumui vizuri. Joto linaweza kurudi kwenye engine likaharinu turbo hata cylinder head.
Kuzuia au kuchelewesha hilo ndio kitu kinaitwa DPF regeneration, kwa kifupi ni kuisafisha DPF kwa njia ya kuipasha joto gari ili iyeyushe zile taka/masizi/uchafu kwenye chujio. Gari za Diesel za miaka hii zinataka gari iwe inatembezwa umbali mrefu hata mara moja au mbili kwa mwezi ili kuchoma hizo ashes.
Kuna mifumo mingine kwa ajili hiyo pia kama vile EGR, ADBLUE ila kwenye mazda ni dpf na egr tu
Gari ina masharti kama waganga wa SISIEMU!
 
Yeah nafaham kwamba inatakiwa after every certain time inabidi utafute ruti ndefu ili ijifute sasa sie wengine kupata muda wa kuitungua kila baada ya muda flani ndo changamoto ndomana nataka niitoe tu
Kutoka Mapinga mpaka Posta haitoshi?
 
Mcheki Amur bei zake ni rafiki mimi nilitolea kwake miezi mitatu sasa sijapata changamoto yoyote
Hana bei rafiki kivile. Sema ndio ivyo hauna jinsi ni kutoa. Mwaka jana nataka kutoa aliniambia 1.3 sahivi wamekua wengi watoa huduma sahivi amepunguza. Wapo hadi wa 500k siwezi semea ubora wa kazi though.
 
Back
Top Bottom