feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Kwa utumiaji huo wa wese itakua uzembeYaani ata once kw week 2 kwenda Bagamoyo nishindwe???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa utumiaji huo wa wese itakua uzembeYaani ata once kw week 2 kwenda Bagamoyo nishindwe???
Ahsante kwa kuuliza na sie tujuesasa mtusaidiaje tusiojua mambo ya magari embu twendeni sawa jamani hiyo DPF ndio kitu gani hicho hata kwa picha tu tuone.!
Ewaaaaàaah! Hapo sawaDPF ni Diesel Particulate Filter
Kwa lugha rahisi ni chujio la hewa gesi (zile za exhaust) ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Kwa Ulaya na Marekani ni requirement/ni lazima kwa sasa ili kulinda mazingira. Nchi za Afrika bado hatuna masharti hayo.
Kinachotokea yale masizi yakijaa kwenye chujio, hewa/gesi zenye joto zinakuwa hazipiti vizuri na gari haipumui vizuri. Joto linaweza kurudi kwenye engine likaharinu turbo hata cylinder head.
Kuzuia au kuchelewesha hilo ndio kitu kinaitwa DPF regeneration, kwa kifupi ni kuisafisha DPF kwa njia ya kuipasha joto gari ili iyeyushe zile taka/masizi/uchafu kwenye chujio. Gari za Diesel za miaka hii zinataka gari iwe inatembezwa umbali mrefu hata mara moja au mbili kwa mwezi ili kuchoma hizo ashes.
Kuna mifumo mingine kwa ajili hiyo pia kama vile EGR, ADBLUE ila kwenye mazda ni dpf na egr tu
Gari ina masharti kama waganga wa SISIEMU!DPF ni Diesel Particulate Filter
Kwa lugha rahisi ni chujio la hewa gesi (zile za exhaust) ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Kwa Ulaya na Marekani ni requirement/ni lazima kwa sasa ili kulinda mazingira. Nchi za Afrika bado hatuna masharti hayo.
Kinachotokea yale masizi yakijaa kwenye chujio, hewa/gesi zenye joto zinakuwa hazipiti vizuri na gari haipumui vizuri. Joto linaweza kurudi kwenye engine likaharinu turbo hata cylinder head.
Kuzuia au kuchelewesha hilo ndio kitu kinaitwa DPF regeneration, kwa kifupi ni kuisafisha DPF kwa njia ya kuipasha joto gari ili iyeyushe zile taka/masizi/uchafu kwenye chujio. Gari za Diesel za miaka hii zinataka gari iwe inatembezwa umbali mrefu hata mara moja au mbili kwa mwezi ili kuchoma hizo ashes.
Kuna mifumo mingine kwa ajili hiyo pia kama vile EGR, ADBLUE ila kwenye mazda ni dpf na egr tu
Hivi ukiondoa hilo chujio,, mlio haubadiliki kama masega yakiondolewa?Yaani ata once kw week 2 kwenda Bagamoyo nishindwe???
Hata Toyota za miaka ya karibuni zina DPF.Tulia kwenye toyota mkuu dio lazima uje na huku
Kutoka Mapinga mpaka Posta haitoshi?Yeah nafaham kwamba inatakiwa after every certain time inabidi utafute ruti ndefu ili ijifute sasa sie wengine kupata muda wa kuitungua kila baada ya muda flani ndo changamoto ndomana nataka niitoe tu
Wakiondoa mara nyingi moshi unakua mwingi saaana kwenye gear kubwa (1, 2 &3) au Parking.Hivi ukiondoa hilo chujio,, mlio haubadiliki kama masega yakiondolewa?
Na chenjiKutoka Mapinga mpaka Posta haitoshi?
Dawa ya hii kitu ni kuitembeza gari walau x2 kwa mweziWakiondoa mara nyingi moshi unakua mwingi saaana kwenye gear kubwa (1, 2 &3) au Parking.
Mcheki Amur bei zake ni rafiki mimi nilitolea kwake miezi mitatu sasa sijapata changamoto yoyoteTulia kwenye toyota mkuu dio lazima uje na huku
Hana bei rafiki kivile. Sema ndio ivyo hauna jinsi ni kutoa. Mwaka jana nataka kutoa aliniambia 1.3 sahivi wamekua wengi watoa huduma sahivi amepunguza. Wapo hadi wa 500k siwezi semea ubora wa kazi though.Mcheki Amur bei zake ni rafiki mimi nilitolea kwake miezi mitatu sasa sijapata changamoto yoyote