Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fog light kazi yake nini?
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..Fog light kazi yake nini?
Hiyo ni pamoja taa zenyewe au gharama ya ufundi tuu?Nimefunga fog lights za round pale mitaa yetu ya Gerezani Kariakoo bei yake kufunga ni tsh 10000 Tu..
Au nenda mitaa ya Lumumba utakutana na wafungaji kibao wa hizo fog
Taa zenyewe nilinunua tsh 25000 Kwa rafiki Yangu Kariakoo(huyu jamaa anaingiza mwenyewe mzigo kutoka China.Hiyo ni pamoja taa zenyewe au gharama ya ufundi tuu?
Njoo mtaa wa Kipata Kariakoo ukifika mtaa huo uliza planet pharmacy hapo utakuwa umeshafika kwakuwa hawa wauzaji wapo opposite na hiyo pharmacy (Duka lipo Kwa ndani Kwenye corridor)Niunganishe nae asee huyo rafki yako wa kkoo
Hahah nimekelewa mkuu, ukungu unaleta shida sana kuona mbeleFog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako...
Ndiyo mkuuHahah nimekelewa mkuu....ukungu unaleta shida sana kuona mbele
Kumulika zaidi, hii ni kwa ajili ya wale wenye macho mchuzi ( kutokuona vizuri)na foggy conditions ( kipindi cha ukunguFog light kazi yake nini?
Mkuu elfu kumi tu! Hizo Ni gharama ya kununua fog lights au za fundi???Nimefunga fog lights za round pale mitaa yetu ya Gerezani Kariakoo bei yake kufunga ni tsh 10000 Tu..
Au nenda mitaa ya Lumumba utakutana na wafungaji kibao wa hizo fog
Fog bei yake ni tsh 25000Mkuu elfu kumi tu! Hizo Ni gharama ya kununua fog lights au za fundi???
Makanjanja wale hizo fog light za kufungwa lumumba ipo siku zitapiga shot ndo akili ikae sawaNimefunga fog lights za round pale mitaa yetu ya Gerezani Kariakoo bei yake kufunga ni tsh 10000 Tu..
Au nenda mitaa ya Lumumba utakutana na wafungaji kibao wa hizo fog
Fog ambayo nimefunga sijanunua Lumumba pia kitu ambacho kinasababisha shoti ni waya,kama utatumia waya za bei rahisi lazima taa ziungueMakanjanja wale hizo fog light za kufungwa lumumba ipo siku zitapiga shot ndo akili ikae sawa
Noted! So nyaya ndo kitu Cha kuangalia eh!Fog ambayo nimefunga sijanunua Lumumba pia kitu ambacho kinasababisha shoti ni waya,kama utatumia waya za bei rahisi lazima taa ziungue