Natafuta fundi wa kuweka fog lights kwa gari

Natafuta fundi wa kuweka fog lights kwa gari

Nielekeze gerezani mtaa gani to be exact. Nataka wakanifungie taa ile inatoa mwanga wa blue tupu inafungwa huku nyuma karibu na exhaust
Gerezani Kariakoo pembezoni mwa ukuta wa shule ya sekondari ya DAR es salaam (DAR es salaam secondary school).
Kuna mafundi kibao hapo pia ukishafika mitaa hiyo utaona Tu Magari yanatengenezwa na mengine yamepaki tu
 
Noted! So nyaya ndo kitu Cha kuangalia eh!
Fundi aliyenifungia fog aliniambia ili taa zisipige shoti ni Bora tutumie waya za mtumba(ukifika mitaa ya Gerezani utazikuta Kwa wale mafundi hizi waya zinatolewa Kwenye Magari yaliyopata ajali)..
Mita moja inauzwa tsh 3000 tofauti na waya za kichina za bei rahisi zinazouzwa tsh 1500 Kwa Mita
 
Gerezani Kariakoo pembezoni mwa ukuta wa shule ya sekondari ya DAR es salaam (DAR es salaam secondary school).
Kuna mafundi kibao hapo pia ukishafika mitaa hiyo utaona Tu Magari yanatengenezwa na mengine yamepaki tu
Asante bro. Nilifanikiwa kwenda. Nimefunga taa nyuma karibu na bonba la Exhaust (urembo tu haina maana yoyote, si unajua sisi vijana).

Gari yangu usiku kwa nyuma inamulika mwanga wa blue, unapiga kwa chini hivi. Safiiiiiii.

Nimechukua namba za majamaa pale, next week unaenda tena kuli-pimp zaidi gari langu. Nalipenda gari langu, japo ni babywoka.

Jamaa wananisifia eti "mwanangu unaitunza kweli gari yako, kama mpya vile..." Wangejua gharama nazoingia kuli-pimp gari mammae.

IMG_20201116_083700_2.jpg


IMG_20201115_185232_6.jpg
 
Asante bro. Nilifanikiwa kwenda. Nimefunga taa nyuma karibu na bonba la Exhaust (urembo tu haina maana yoyote, si unajua sisi vijana).

Gari yangu usiku kwa nyuma inamulika mwanga wa blue, unapiga kwa chini hivi. Safiiiiiii.

Nimechukua namba za majamaa pale, next week unaenda tena kuli-pimp zaidi gari langu. Nalipenda gari langu, japo ni babywoka.

Jamaa wananisifia eti "mwanangu unaitunza kweli gari yako, kama mpya vile..." Wangejua gharama nazoingia kuli-pimp gari mammae.

View attachment 1627359

View attachment 1627361
Pamoja Sana mkuu...
Hayo ndiyo maeneo yetu Mkuu sometimes gari Yangu huwa napaki Sana hapo Kwa mafundi,naona usiku unajidai Tu na taa ya blue
 
A
Fundi aliyenifungia fog aliniambia ili taa zisipige shoti ni Bora tutumie waya za mtumba(ukifika mitaa ya Gerezani utazikuta Kwa wale mafundi hizi waya zinatolewa Kwenye Magari yaliyopata ajali)..
Mita moja inauzwa tsh 3000 tofauti na waya za kichina za bei rahisi zinazouzwa tsh 1500 Kwa Mi

Fundi aliyenifungia fog aliniambia ili taa zisipige shoti ni Bora tutumie waya za mtumba(ukifika mitaa ya Gerezani utazikuta Kwa wale mafundi hizi waya zinatolewa Kwenye Magari yaliyopata ajali)..
Mita moja inauzwa tsh 3000 tofauti na waya za kichina za bei rahisi zinazouzwa tsh 1500 Kwa Mita
Ahsante Sana mkuu
 
Kama zinavoitwa “fog” light ni taa za kukuwezesha kuona vizuri wakati wa ukungu, ila huku kwetu zinasaidia kumulika vizuri lami hasa kwa chini uone vema!
Ukiziwasha hizi taa unaweza kusababisha ajali kubwa sana, mwenzako unaepishana nae akashindwa kuona vizuri mkagongana
 
Asante bro. Nilifanikiwa kwenda. Nimefunga taa nyuma karibu na bonba la Exhaust (urembo tu haina maana yoyote, si unajua sisi vijana).

Gari yangu usiku kwa nyuma inamulika mwanga wa blue, unapiga kwa chini hivi. Safiiiiiii.

Nimechukua namba za majamaa pale, next week unaenda tena kuli-pimp zaidi gari langu. Nalipenda gari langu, japo ni babywoka.

Jamaa wananisifia eti "mwanangu unaitunza kweli gari yako, kama mpya vile..." Wangejua gharama nazoingia kuli-pimp gari mammae.

View attachment 1627359

View attachment 1627361
Dahh, safi sana mzee ... Safi kabisa
 
Back
Top Bottom