Natafuta fundi wa kuweka fog lights kwa gari

Natafuta fundi wa kuweka fog lights kwa gari

Umeachanganya madesa jombaa
Taa zozote za myongeza tofauti na zilizowekwa kwenye muundo wa gari zimeshakatazwa
huyo aliyelipeleka gari na fog lamp kule Arusha labda, lkn asizitumie pasipo na ukungu atakamatwa
ila Sheria ipo na faini ni 30,000/ kuwasha taa hizo mchana au usiku
 
Taa zozote za myongeza tofauti na zilizowekwa kwenye muundo wa gari zimeshakatazwa
huyo aliyelipeleka gari na fog lamp kule Arusha labda, lkn asizitumie pasipo na ukungu atakamatwa
ila Sheria ipo na faini ni 30,000/ kuwasha taa hizo mchana au usiku
Hujui unachoongea.
Kwamba Fog lights zinasababisha ajali kwa kumzuia dereva wa mbele kuona? Hivi unazijua Fog light wewe na matumizi yake?
Rudi driving school
 
View attachment 1634507
nimekukubalia km umeipeleka Arusha sawa lk mitaa taa yamepigwa marufuku soma nyongeza ya Sheria za barabarani 1996 na kusaini wa na B.W. Mkapa https://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/The_Road_Traffic_(Amendment)_Act,_16-1996_en.pdf
sasa hapa TZ hakuna Jangwa wala ukungu, ni nani humuoni njiani, haya na LED lamp na maspotlight
Ramadhani Mpinga alishatangaza taa za kuongezea ni marufuku mpaka vingora ni Sheria ya 1996
Duh itabidi nitafute Mwl wa Driving hata VETA kwani mm hawajanifundisha hao watu kuwa mchana kweupe utumie Fog kwenye lami za DSM
Taa zozote kali haziruhusiwi barabarani kimataifa labda kupelekea watoto shule au sokoni,
inatakiwa taa kubwa mbili tu kwa mbele tena nyeupe na taa mbili nyekundu kwa nyuma
sasa mara blue kwa chini mara soma sheria iliyotungwa na Bunge kifungu 39C sub section 2
Hujui unachoongea.
Kwamba Fog lights zinasababisha ajali kwa kumzuia dereva wa mbele kuona? Hivi unazijua Fog light wewe na matumizi yake?
Rudi driving school
1606306634551.png
 

Attachments

  • 1606304486372.jpeg
    1606304486372.jpeg
    195.5 KB · Views: 9
Nawasha fog lights mwanzomwisho napishana na traffic siulizwi kuhusu Hilo....fog lights zina Raha yake hasa ukiwa unaenda zako mikoani
 

Attachments

  • IMG_20201121_120011.jpg
    IMG_20201121_120011.jpg
    118 KB · Views: 12
View attachment 1634507
nimekukubalia km umeipeleka Arusha sawa lk mitaa taa yamepigwa marufuku soma nyongeza ya Sheria za barabarani 1996 na kusaini wa na B.W. Mkapa https://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/The_Road_Traffic_(Amendment)_Act,_16-1996_en.pdf
sasa hapa TZ hakuna Jangwa wala ukungu, ni nani humuoni njiani, haya na LED lamp na maspotlight
Ramadhani Mpinga alishatangaza taa za kuongezea ni marufuku mpaka vingora ni Sheria ya 1996
Duh itabidi nitafute Mwl wa Driving hata VETA kwani mm hawajanifundisha hao watu kuwa mchana kweupe utumie Fog kwenye lami za DSM
Taa zozote kali haziruhusiwi barabarani kimataifa labda kupelekea watoto shule au sokoni,
inatakiwa taa kubwa mbili tu kwa mbele tena nyeupe na taa mbili nyekundu kwa nyuma
sasa mara blue kwa chini mara soma sheria iliyotungwa na Bunge kifungu 39C sub section 2

View attachment 1634506
Hata hawa makamanda wetu wa usalama barabarani nadhani hawajui maana na umuhimu wa fog lights..

Ingekuwa wanajua wangeweka sheria ziwe zinawashwa iwe kiangazi, iwe mvua, iwe ukungu..

Fog lights hazikatazwi kwa sababu kwa sababu hazina madhara yoyote na haziumizi macho..

Kinachokatazwa ni yale masport lights, unakuta mtu ameyafunga manne juu ya Bonnet ya gari, akiyawasha full lazima uache njia..

Kuna mataa mengine ya kichina yanawaka kama tochi yanaumiza macho, hayo hayaruhusiwi..

Kuna taa zinawaka kama kimulimuli, hizo polisi hawazitaki...utakuta vijana wamefunga kwenye Toyo..

Kwenye magari yanayotoka siku hizi fog lights imekuwa ni moja ya basic options..

Askari mwelewa hawezi kukukama kisha umewasha fog lights....

Huku Arusha tunaziwasha tu
 
Kuna taa zinawaka kama kimulimuli, hizo polisi hawazitaki...utakuta vijana wamefunga kwenye Toyo..
Polisi hawazitaki au sheria zinakataza?
Maana kwenye babywoka yangu pale mbele ya bampa (kwa chini) nimefunga kitaa chembamba kinawaka waka kama kimulimuli.

Na kila siku Askari napishana nao, hawajawahi kunisimamisha.

Mbona magari mengi tu hapa Dar nayaona yamefunga taa za kimulimuli?
 
Polisi hawazitaki au sheria zinakataza?
Maana kwenye babywoka yangu pale mbele ya bampa (kwa chini) nimefunga kitaa chembamba kinawaka waka kama kimulimuli.

Na kila siku Askari napishana nao, hawajawahi kunisimamisha.

Mbona magari mengi tu hapa Dar nayaona yamefunga taa za kimulimuli?
polisi kutokukusimamisha haina maana kuwa zinakubalika...

Kwani ni makosa mangapi ya barabarani tunafanya napolisi wanatuacha tunaenda..?
 
Hata hawa makamanda wetu wa usalama barabarani nadhani hawajui maana na umuhimu wa fog lights..

Ingekuwa wanajua wangeweka sheria ziwe zinawashwa iwe kiangazi, iwe mvua, iwe ukungu..

Fog lights hazikatazwi kwa sababu kwa sababu hazina madhara yoyote na haziumizi macho..

Kinachokatazwa ni yale masport lights, unakuta mtu ameyafunga manne juu ya Bonnet ya gari, akiyawasha full lazima uache njia..

Kuna mataa mengine ya kichina yanawaka kama tochi yanaumiza macho, hayo hayaruhusiwi..

Kuna taa zinawaka kama kimulimuli, hizo polisi hawazitaki...utakuta vijana wamefunga kwenye Toyo..

Kwenye magari yanayotoka siku hizi fog lights imekuwa ni moja ya basic options..

Askari mwelewa hawezi kukukama kisha umewasha fog lights....

Huku Arusha tunaziwasha tu
Zinasaidia sana hizi kwenye mvua nzito
 
polisi kutokukusimamisha haina maana kuwa zinakubalika...

Kwani ni makosa mangapi ya barabarani tunafanya napolisi wanatuacha tunaenda..?
Bravooo Mkuu
hawajui kuwa hata kuvaa sandles (kandambili, katambuga) kula muwa, kuongea na simu nk wakati unaendesha gari ni makosa, ni taarifa tu wajue kuwa ukiandikiwa 30,000/ inabidi uikubali ukiikataa wanauwezo wa kuifungia gari na dereva kupelekwa Mahakamani
ndio maana tanahabarishana tu kuwa hizo taa zilizozidi ukaziwasha pasipohusika ukilimwa faini usibishe
 
Bravooo Mkuu
hawajui kuwa hata kuvaa sandles (kandambili, katambuga) kula muwa, kuongea na simu nk wakati unaendesha gari ni makosa, ni taarifa tu wajue kuwa ukiandikiwa 30,000/ inabidi uikubali ukiikataa wanauwezo wa kuifungia gari na dereva kupelekwa Mahakamani
ndio maana tanahabarishana tu kuwa hizo taa zilizozidi ukaziwasha pasipohusika ukilimwa faini usibishe
We njagu acha mbwembwe
 
Back
Top Bottom